Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Usipige kelele sana, hata huko mtafikia tu, it is just a matter of time, sisi huku CCM kwa bahati nzuri tuna utamaduni mzuri wa kuwajibishana kama hivyo, ila huko kwenu, hakuna mtu yeyote wenye dhamana ya kuuliza chochote wala kumwajibisha yoyote.Siku zote tunasema
CCM ndio wezi wa nchi hii
wameifilisi na wanaendelea kuifilisi
CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals
Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani