Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,844
We ume prove nini hapo,mana umepanic tayari tulia dawa ikuingieProve it acha kuchemka kama boiler isiyo na control
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ume prove nini hapo,mana umepanic tayari tulia dawa ikuingieProve it acha kuchemka kama boiler isiyo na control
Siku zote tunasema
CCM ndio wezi wa nchi hii
wameifilisi na wanaendelea kuifilisi
CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals
Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani
tatizo si chama bali watanzania wote si wazalendo kila mtu anaangalia lake.tukisema tusimamie haki unaweza kukuta tuna watu robo ya watanzania ndio wapo sahihi
FursaMbinga JIMBO WAZI
Uongo
Aisee hilo Jina ni tusi kwangu
Nitakuripoti kwa MODS kutokana na tusi ulilonitukana
Tafadhali sana tuheshimiane...narudia tuheshimiane
heshima kitu cha bure
Ma Comrade ni wewe na wezi wenzako
Kwahiyo cdm iko nchi gani urusi au cuba? Mnashindwa nini kuwashitaki hao mafisadi waliopo cdm?Huyo Mapunda karibu atatimkia CHADEMA kama Lowasa, huko mafisadi wote wanakaribishwa!
please tuheshimianeDuh, unajua maana ya comrade??? Nimeangalia mahali fulani kuhusu maana ya neon hili comrade na wanasema hivi: "...The term comrade is used to mean "friend", "mate", "colleague", or "ally", and derives from the Iberian Romance language term camarada, literally meaning "chamber mate", from Latin camera "chamber" or "room"......
Anyway pamoja na kuwa nilikuwa na maana nzuri kwa kukuita comrade, nitatekeleza uamuzi wako...
Hata yule mwizi wa galaxy pale bmlkHa ha ha ukiwaona akina Mapunda walivyo kuwa wanatoka povu kupindua maoni ya wananchi kwenye bunge maalum la katiba utafikiri walikuwa na uchungu Sana na wananchi kumbe ulikuwa uchungu wa kutetea vitambi vyao na Chama Chao mfuu.
Mkuu asnte sana kwa kutupatia kufuli la kuwaziba midomo hao majizi wa lumumbahiyo inapaswa kuitwa mahakama ya ccm hahahah maana woooooote ni ccm View attachment 381936
halafu wao ndo wa kwanza kushangilia hii mahakama, ilhali kuna wajomba ndugu na jamaa zao kibao... na mimi naishangilia sana aiseeMkuu asnte sana kwa kutupatia kufuli la kuwaziba midomo hao majizi wa lumumba
Na kwa utaratibu huu wa majizi ya ccm kuendelea kubainika naamini hata hiyo mahakama itabakia kwenye magazeti tu maana wanajua ikufunguliwa watakao jaza magereza ni wana ccmhalafu wao ndo wa kwanza kushngilia hii mahakama ilhali kuna wajomba ndugu na jamaa zao kibao
Yaani unairuka ile haja inayotokea mbele halafu unaikanyaga ile inayotokea nyuma!!!, wanasema CCM mbovu halafu mbadala wake ni watu wale wale waliokulia humo humo kwenye chama. Hizi akili zipo Tanzania peke yake.Halafu ndo waingie akina ROSTAM na Lowasa karami na mbowe
Hiyo ndio ccm yaani wanahangaika na vidagaa tu wakati mapapa wapo pembezoni mwa bahari wanapumuaMtahangaika sana na akina Sixtus, huku akina Lugumi wakiendelea kula butter mtaani.