FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
UVCCM ndio wamefufua uwizi wa huyo anayeitwa Mapunda ndio maana TAKUKURU wakaenda kumuhoji huyo mdaiwa... Sasa BAVICHA mkidai Ruzuku mtafukuzwa nyie na chama mtakiacha. Sasa BAVICHA simameni leo acheni kuwa misukule muhoji kwanini Mbowe alikiuzia chama magari chakavu kwa million 500. Hojini kwanini Tender zote anabeba Mbowe ndani ya Chama.. Hakika mkihoji hayo lazima TAKUKURU wamtie kimiani Mbowe..TAKUKURU wakamkamate basi kama walivyowakamata hayo majizi yenu. Kama sivyo basi hizo ni blah blah za mfa maji tu