Tetesi: Sixtus Mapunda Akamatwa na TAKUKURU

Tetesi: Sixtus Mapunda Akamatwa na TAKUKURU

Status
Not open for further replies.
Ukipambana na Wachafu wewe mwenyewe Uwe Msafi, Kwa Unafiki wa Mh. Magufuli kwenye siasa mimi sijui ila nahisi hata kwenye Ufisadi na Yeye yumo ila Mishipa ya aibu Imemkatikia. (Hili la yeye kuwepo kwenye Ufisadi mimi sina uhakika)

Kuna Mwanasiasa Mmoja Kenya aliyejulikana kama Josiah Mwangi Kariuki au JM. Kariuki. Huyu alipiga Kelele sana, akiwachachafya hata akina Jomo Kenyatta kuwa Mafisadi. Muda wote Mimi nikadhani Kuwa ni hero wa wanyonge. Siku Moja Mtoto wa Kenyatta (Mke Mkubwa) Pamoja na Wengine walimchukua Jengo la Usalama na huko wakamhoji juu ya Ufisadi wake yeye, Walimpiga na Kumvunja Mguu, Kisha wakamuua kwa wanaojua Forensic, waliomuua walionyesha hasira kuu naye kwani mwili wake ulipopatikana ulikuwa na majeraha mengi ya mateso!

Sasa Mimi Nadhani Vita dhidi ya Mafisadi Ni Nzuri, Nimefanya Kazi TRA enzi zile VAT inaanza, Na sijawahi kuchukua hata Kibaru cha mtu! Ila wanaojifanya Kupigana na Ufisadi sasa wanawalakini Mkubwa sana. I hope they are clean.

Msikilize Mkuu akizungumzia Milioni 200 Za Wajapani. Huku akiwa na Kitwanga,

Ndugu yangu millioni saba ni pesa nyingi,hata kama ungechangiwa ikapatikana ni afadhali hyo hela ikatumika kununua madawati wanetu wakasomea,si lazima katika kujadili mada utaje majina au kutumia kauli kali zitakazokuletea matatizo.Uungwana sio uoga,huu utawala hauna simile shauri yako.
 
Ccm ni majizi tu
Ila wanapotoka CCM na kuhamia CHADEMA wanatakaswa na kufananishwa na malaika, wakati hao wanaowatakasa waliwaita mafisadi. Bahati mbaya kama kuna ulaji wowote uliowafanyika mpaka gia ikabadilishiwa angani, basi wanaofaidika ni wachache sana na jina la Mmawia wala halimo na sidhani kama linajulikana.
 
Ila wanapotoka CCM na kuhamia CHADEMA wanatakaswa na kufananishwa na malaika, wakati hao wanaowatakasa waliwaita mafisadi. Bahati mbaya kama kuna ulaji wowote uliowafanyika mpaka gia ikabadilishiwa angani, basi wanaofaidika ni wachache sana na jina la Mmawia wala halimo na sidhani kama linajulikana.
haha tunaitaka hiii mahakama ifanye kazi yake bila upendeleo
 
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
hakuna fisadi atakayebaki salama mbona kitwanga na Lugumi wanapeta mtaani au ule si ufisadi
 
Ila wanapotoka CCM na kuhamia CHADEMA wanatakaswa na kufananishwa na malaika, wakati hao wanaowatakasa waliwaita mafisadi. Bahati mbaya kama kuna ulaji wowote uliowafanyika mpaka gia ikabadilishiwa angani, basi wanaofaidika ni wachache sana na jina la Mmawia wala halimo na sidhani kama linajulikana.
Ccm ni majizi tu ...period
 
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
LUGUMYA JE?
 
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..

Wote tu ccm genge la mafisadi. atafikishwa mahakamani na hakuna kitakachoendelea.
 
haha tunaitaka hiii mahakama ifanye kazi yake bila upendeleo
Tone ya JPM anapoongelea masuala ya ufisadi, ni kali na isiyo na masihara hata kidogo. Ukosefu wa uaminifu na tabia ya upigaji iliyoachwa ikaota mizizi katika awamu ya nne, ni vitu ambavyo kwa sasa ni sababu kubwa ya baadhi ya watu kupata magonjwa ya moyo.
 
Siku zote tunasema

CCM ndio wezi wa nchi hii

wameifilisi na wanaendelea kuifilisi

CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals

Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani
hapana..ijisafishe. siku zote unafiki ni sehemu ya siasa ndio maana kuna ufisadi mkubwa cdm. ruzuku inaliwa yote kijanja na wajanja.
 
Ccm ni chuo cha kuzalisha majizi na mafisadi.Hawa watu wanaiba mpaka wanakatisha tamaa
 
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
Hiyo ' My take ' yako ni uongo .
 
Wezi wote wa mali za C CM watakuwa huru kupitia mahakama kwani CCM mali nyingi sio zake bali ni za waTZ wote hivyo basi yeye hana haki ya kuwa mlalamikaji, naona kama wanataka kulainisha kazi iwe nyepesi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom