Tetesi: Sixtus Mapunda Akamatwa na TAKUKURU

Tetesi: Sixtus Mapunda Akamatwa na TAKUKURU

Status
Not open for further replies.
Siku zote tunasema

CCM ndio wezi wa nchi hii

wameifilisi na wanaendelea kuifilisi

CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals

Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani
Siku zote tunasema CCM si wezi, wezi ni viongozi. Haki ya Mungu Magufuli kweli ni Buldoza ameanza kung'oa visiki ndani ya chama chake? Nawahurumia wapinzani maana watakosa wimbo.
 
khhaaaaaa...yaani wewe unaokoteza vihabari visivyo na uthibitisho wowote....unaleta hapa

Hoja ni Wizi wa UVCCM ambao hadi sasa TAKUKURU wanashughulika nao

Mbowe ni mtu safi...kama hayuko safi TAKUKURU wamkamate.....mbona wanaweza kukamata viongozi wa timu ya Simba wanashindwaje chadema?

Acheni kuokoteza okoteza.....you thieves have to face the reality...na ninyi UVCCM lazima muwe candidates namba moja wa mahakama ya mafisadi.....wezi wakubwa nyie
Unataka Mbowe akamatwe kwani Lugumi kakamatwa na hao TAKUKURU?? Kwahiyo taarifa ya CAG Uttouh ni ya kuokoteza na ya uongo?? Au mpaka nikuletee document kabisa za ofisi ya CAG hapa?? Zitto alisemaje kuhusu ruzuku?? Chacha Wangwe alisemaje kuhusu ruzuku?? Wako wapi sasahivi??

BTW, hizi ni ofisi za chama cha ODM Kenya..

ODM.jpg


Hizi ni Office za chama chako, chama kikuu cha upinzani Tanzania..
b1.jpg
 
Siku zote tunasema

CCM ndio wezi wa nchi hii

wameifilisi na wanaendelea kuifilisi

CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals

Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani

Wewe hujasema kitu cha maana hapa...usilete masuala ya vyama hapa...una maana huko CHADEMA hamna wezi huko???...Hivi unafikiri watu wakienda kiundani hawawezi kukuta wezi huko CHADEMA??? Hivi hujui sababu inayowafanya baadhi ya viongoziwa upinzani wawe kimya siku hizi??? Hujui kuwa wana hofu kubwa ya kukamatwa??? Hivi unafikiri kila kitu ni salama kuhusu matumizi ya fedha za ruzuku za CHADEMA au CUF??? Things have changed, comrade...Ni kweli wanaCCM wengi watakamatwa kuwa ndio wako kwenye nyadhifa mbalimbali...lakini haimananishi kuwa CHADEMA wakija ndio nchi itakuwa salama...Nchi kwa sasa ni salama zaidi chini ya CCM...
 
Wewe hujasema kitu cha maana hapa...usilete masuala ya vyama hapa...una maana huko CHADEMA hamna wezi huko???...

Mimi ni mtu huru sana kifikra.....Mwizi yeyote sio rafiki yangu haijalishi yuko wapi.....Nini kinazuia hao wezi walioko chadema kukamatwa...tunailipa serikali hii ya CCM kodi zetu ifanye kazi...kwa nini haiwakamati hao wezi walioko Chadema...hatutaki politics za hisia hapa...serikali ina vyombo vyote kwa nini tuanze ku assume...come on..achen utani bana...we have a serious job ahead....serikali kwa nini haiwezi kuchukua hatua....is it an issue of incompetence? au nini?

Hivi unafikiri watu wakienda kiundani hawawezi kukuta wezi huko CHADEMA???
Nini kinazuia vyombo vya serikali kwenda kiundani...acha jokes bana......serikali inatumia kodi zetu halafu hawataki kwenda kiundani kwenye serious issues?

Hivi hujui sababu inayowafanya baadhi ya viongoziwa upinzani wawe kimya siku hizi???


Mimi nataka wakamatwe kama wanavyokamatwa MAJIZI MAARUFU ya CCM....Watu wa hovyo sana nyie CCM...Shame on you...look at how bad you are...wezi wakubwa nyie.

Nchi kwa sasa ni salama zaidi chini ya CCM...

Hakuna kitu kama hicho...mnaendelea kuifisadi nchi kuwalipa IPTL mabilioni,Kivuko cha MV Dar es salaam kipo wapi? Wizi wa ESCROW,LUGUMI na vingenevyo...Mnadhani sisi ni wajinga sana eeeeh? we are not all ignorants
 
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
Hapa kazi tuu! Kila mtu afanye kaz halali
 
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..


Nashukuru kwa kutambua kwa uhakika kuwa MAFISI na MAFISADI wa nchi hii wapo ndani ya CCM na jumuia zake.
Tunasubiri na yule wa jumuia ya wazazi ashughulikiwe hatutaki double standard tena ili serikali hii iaminike
 
Lumumba, hii ni sawa na kumnyoshea mtu kidole kimoja wakati vinne vinakunyoshea mwenyewe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom