better parker
Senior Member
- Jul 26, 2016
- 166
- 103
Wataachiwa wapi wakina kange wameaachiwa iyo ni danganya toto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendesha bodaboda siyo mtu/binadamu au hiyo siyo kazi!?Hapana Shaka wewe utakuwa mwendesha bodaboda uliyempigia kura Lowasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli kabisa Isaya boriti kubwa hawalioni wanatuonesha nguvu kwenye toothstickNi kweli hakuna fisadi atakayebaki salama isipokuwa Lugumi
Akina kangi wamesafishwaMbinga JIMBO WAZI
CCM ilimsimamisha Magufuli
Hivi wale vijana wa bavicha walioiba milion 10.. Wamefikia wapi, hizi ni dalili mbaya, kama hiki kidogo walichonacho wanaiba je, wakiwa na uwezo mkubwa itakua hatari
Nyumba za Serikali alishazungumzia, Sumaye, Mwenyekiti mtarajiwa wa chadema, Jimbo la masharikiatatumbua sana ila kuna sehemu hatazigusa kabisa wala kuzizungumzia,moja wapo hilo na uuzwaji nyumba za serikali hutakuja hata kumsikia akizungumzia kokote
Mapunda ameitumu Uvccm kwa kuiba na kusema uongo.Uvccm products zenu zinatambaHuyo Mapunda kribu atatikia CAHADEMA kama Lowasa, huko mafisadi wote wanakaribishwa!
Lowasa Alipataje hizo Ranch na maelfu ya ng'ombe, shares nyingi za voda, viwanja Dar na Mali kemkem ambapo yeye sio mfanyi biashara na hakuachiwa urithi na baba yake.Rostam ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii
Karamagi ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii
Mbowe ni mwenyekiti wetu asiye na doa hata moja kama angekuwa nalo TAKUKURU hao hawapo? mbona hawajamkamata kama wanavyowabeba wezi nyie CCM?
About Lowasa..sitasema Mengi...Muda ndio utawaumbua ..na mtaona aibu sana
Ahsante Mungu kwa kumuumba Lowasa.
View attachment 381917
FULLSTOPSiku zote tunasema
CCM ndio wezi wa nchi hii
wameifilisi na wanaendelea kuifilisi
CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals
Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani
Wakati anavipata alikuwa chama gani?Lowasa Alipataje hizo Ranch na maelfu ya ng'ombe, shares nyingi za voda, viwanja Dar na Mali kemkem ambapo yeye sio mfanyi biashara na hakuachiwa urithi na baba yake.
Mbona hawakamatwi na TAKUKURU?Sipingi Lugumi na kibaya ulishatolewa ufafanuzi na bunge lilishaunda kamati na kujiridhisha, ila mtu kama wewe huoni ufisadi wa mbowe na lowasa walivyouziana chama unakomaa na vitu vingine. Mwambieni mbowe arudishe chenji la lowasa ili awe huru kuamua mstakabali wa chama na siyo kila siku anaambiwa aache uanaharakati
Wote hao inabidi waburuzwe kwa pilato tuVipi yule aliyefilisi AICC wakati ule mpaka akafukuzwa.. Akaja kupiga madili Wizara ya Maji alafu akapiga na Richmond
Je kivuko ni kibovu au miundo mbinu ya kukifanya kifanye kazi ndio haipo?Mnakamata vijizi vidogovidogo lakini majizi makubwa kama Lugumi yanakunywa kahawa na kujipongeza huku mnunuaji wa kivuko kibovu anasema analala nao mbele kwa mbele..imbombo ngafu.