Tetesi: Sixtus Mapunda Akamatwa na TAKUKURU

Tetesi: Sixtus Mapunda Akamatwa na TAKUKURU

Status
Not open for further replies.
Siku zote tunasema

CCM ndio wezi wa nchi hii

wameifilisi na wanaendelea kuifilisi

CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals

Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani
Mkuu usitegemee chama kikubwa kama CCM kikose mafisadi, sio rahisi katu, ila hatua wanazochukua zinatia moyo, hv unadhani ukawa wakipewa nchi, haya yanayotokea ndani ya ccm, hayatatokea kwa ukawa ? Ngoja siku utakapoona taarifa ya ukaguzi ya chadema juu ya matumizi ya ruzuku zinazotolewa na serikali kama hutakaa kinywa wazi. Mimi naamini kuwa viongozi/wanasiasa asilimia kubwa ni wapiga deal, na sio tanzania tu bali karibu nchi zote, hasa Afrika. Sitegemei haya yanayotokea ndani ya ccm siku ukawa wakipewa nchi hayatatokea.
 
Mnakamata vijizi vidogovidogo lakini majizi makubwa kama Lugumi yanakunywa kahawa na kujipongeza huku mnunuaji wa kivuko kibovu anasema analala nao mbele kwa mbele..imbombo ngafu.
Wameenda kuelekezwa mbinu za kujiokoa kama akina Kangi Lugola
 
Rostam ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii

Karamagi ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii

Mbowe ni mwenyekiti wetu asiye na doa hata moja kama angekuwa nalo TAKUKURU hao hawapo? mbona hawajamkamata kama wanavyowabeba wezi nyie CCM?

About Lowasa..sitasema Mengi...Muda ndio utawaumbua ..na mtaona aibu sana

Ahsante Mungu kwa kumuumba Lowasa.


View attachment 381917

Hivi wewe si ulikuwa humu kumwita lowassa fisadi? Au tufukue makaburi na leo.. Post zenu za zamani zimefanya watu wawaone nyie wote CCM na CDM ni wachumia tumbo tu
 
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
Mafisadi sasa watakiona
 
Lugumi Yupo kama ambavyo Lowasa yupo.Kwani kati yao kuna aliyehukumiwa na mahakama kuwa ana kosa ambavyo kila siku nyie ma CHADEMA hutuaminisha kuwa Lowasa hana kosa kwa kuwa hajawahi hukumiwa na mahakama.Naona mmekomalia Lugumi, LUGUMI kwa nini hamumusemi Lowasa na RICHMOND YAKE?

Huyu Lugumi nae ni mjinga sana.. Amtafute Mbowe ampe million 500 tu utaona Mbowe atakavyowatuma nyumbu waje kumsafisha..

Lugumi play it smart man kama Lowassa anavyowapa manyumbu kazi ya kumsafisha..
 
Hivi wewe si ulikuwa humu kumwita lowassa fisadi? Au tufukue makaburi na leo.. Post zenu za zamani zimefanya watu wawaone nyie wote CCM na CDM ni wachumia tumbo tu

Ongelea hoja hapa wewe.....

Kauli yangu inasimama na ushahidi wa kusimamia kauli yangu Upo.....

Lowasa angekuwa ni mchafu hivyo leo hii asingekuwa mtaani hivi na tena yuko Opposition

Sometimes tuwe tunatumia akili zetu kuchambua pumba na mchele....

Real thieves wapo sasaivi na ndio wanaongoza .....ulitaka tusiseme ukweli kisa ?
 
Huyu Lugumi nae ni mjinga sana.. Amtafute Mbowe ampe million 500 tu utaona Mbowe atakavyowatuma nyumbu waje kumsafisha..

Lugumi play it smart man kama Lowassa anavyowapa manyumbu kazi ya kumsafisha..

Acha kujidanganya wewe....Lowas ni mtu safi la sivyo angekuwa sasa mahakamani hasa ukizingatia yuko opposition

CCM siku zote mmekuwa na mtindo wa kulea wezi kama mlivyomlea LUGUMI na IPTL mnaozidi kuwalea
 
Siku zote tunasema

CCM ndio wezi wa nchi hii

wameifilisi na wanaendelea kuifilisi

CCM yenyewe kama chama wameiba mali za umma...sembuse individuals

Ili nchi hii ipone inabidi CCM itolewe madarakani[/QUOTE
Umesahau juzi tu hapa Bavicha wameiba Milion 10.. Na hizi zilikua Fedha za posho, Vijana wakaiba.. Wanajifanya wameporwa.. Je ikitokea bavicha wakawa wana Fedha nyingi, kama kidogo walichonacho kinaibwa, je wakiwa nacho kikubwa.. Na sijasikia yoyote kuchukuliwa hatua
 
Richmond na Dowans sikuhizi hazitajwi..

RICHMOND
DOWANS
SYMBION
ESCROW
MV DAR ES SALAAM
KAGODA
DEEP GREEN
MEREMETA
EPA
NYUMBA ZA SERIKALI
ARV FEKI MADABDA MWENYEKITI WA CCM DAR
LUGUMI

Tunazitaja zote na kuitaka serikali ya CCM ichukue hatua haraka na sio kuendelea na mfumo wa kulindana wezi wakubwa nyie CCM
 
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama.
.
Mdau,huyo si wa kwanza kukamatwa na TAKUKURU,weeengi walikamatwa na mwishowe DPP akaondoa kesi zao mahakamni,kesi ya mwisho ni ya LOOGOLER &Co
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom