Rostam ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii
Karamagi ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii
Mbowe ni mwenyekiti wetu asiye na doa hata moja kama angekuwa nalo TAKUKURU hao hawapo? mbona hawajamkamata kama wanavyowabeba wezi nyie CCM?
About Lowasa..sitasema Mengi...Muda ndio utawaumbua ..na mtaona aibu sana
Ahsante Mungu kwa kumuumba Lowasa.
View attachment 381917
Sijui uko dunia ya wapi eti ROSTAM ni mwnachama maarufu wa ccm