Tetesi: Sixtus Mapunda Akamatwa na TAKUKURU

Tetesi: Sixtus Mapunda Akamatwa na TAKUKURU

Status
Not open for further replies.
Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..

Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.

Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
Issue sio KUKAMATWA bali ni kutiwa hatiani(convicted)
Fisadi hawezi akanyooka kwa kuhojiwa na TAKUKURU
Then DPP anawafutia kesi
Wabunge akina Mwambalaswa Victor wa Chunya
Kangi Lugola wa Mwibara
na mwingine wa Moro
Wote wamefutiwa mashtaka ya rushwa
Kwa upinzani wa sasa CCM HAIWEZI mshtaki Mbunge wake avuliwe Ubunge waingie kwenye uchaguzi mwingine
Maana serikali itavuliwa nguo
Haya ya Sixtus ni porojo tu
 
CCM ilimsimamisha Magufuli

CHADEMA walimsimamisha Edward Ngoyai Lowasa

Live Long Laigwan

View attachment 381963
Unamjua Mh Lowasa au unamsikia?
Una maanisha huyu[emoji116] [emoji116] [emoji116]
1471247782041.jpg
1471247803109.jpg
 
Wote hao inabidi waburuzwe kwa pilato tu
Itakua kama akina Lugola tu
DPP atamfutia mashtaka
CCM hii dhaifu ambayo haijampa nafuu ya maisha MTZ yyt zaidi ya POROJO haiwezi kubali ipoteze kiti cha Ubunge
Haiwezi kubali wapinzani wapate platform ya kuongelea siasa
 
Itakua kama akina Lugola tu
DPP atamfutia mashtaka
CCM hii dhaifu ambayo haijampa nafuu ya maisha MTZ yyt zaidi ya POROJO haiwezi kubali ipoteze kiti cha Ubunge
Haiwezi kubali wapinzani wapate platform ya kuongelea siasa
Yes huo ndio ukweli wenyewe
 
RICHMOND
DOWANS
SYMBION
ESCROW
MV DAR ES SALAAM
KAGODA
DEEP GREEN
MEREMETA
EPA
NYUMBA ZA SERIKALI
ARV FEKI MADABDA MWENYEKITI WA CCM DAR
LUGUMI

Tunazitaja zote na kuitaka serikali ya CCM ichukue hatua haraka na sio kuendelea na mfumo wa kulindana wezi wakubwa nyie CCM
Hebu soma hapa kwanza....

HESABU ZA CHADEMA

Katika ukaguzi wake huo, CAG ameibaini kwamba Chadema ina akaunti zaidi ya 200 katika benki mbalimbali nchini, lakini kiwango kilichoripotiwa kama salio la kibenki na lile la matumizi madogo madogo katika taarifa za fedha kwa mwaka ulioishia Juni 30, 2013 zilikuwa Sh milioni 224.8

Alisema kati ya hizo, Sh milioni 221.06 ziliwakilisha salio la akaunti za benki sita tu ikiacha salio la Sh milioni 3.7 kwa zaidi ya akaunti 194 zilizobakia.

Kutokana na hali hiyo, taarifa hiyo ya CAG ilieleza kuwa haikuweza kuthibitisha kiwango halisi cha fedha kinachoshikiliwa na Chadema kufikia Juni 30, 2013.

"Kitabu kimoja cha risiti chenye namba 451-500 ambacho kilikusanya Sh milioni 30.1 kama zilivyobainishwa katika kitabu hicho, hakikuwakilishwa kwa ukaguzi na hivyo kushindwa kupanua wigo wa ukaguzi kwa vile hatukuweza kuthibitisha kiwango sahihi cha fedha kilichokusanywa na kitabu cha risiti," taarifa hiyo ilisema na kuongeza:

"Chadema ilionyesha umiliki wa fedha (non-current Assets) wa thamani ya Sh milioni 942.4. Hata hivyo, chama hicho hakina daftari la mali za kudumu (Fixed Assets Register), hivyo sikuweza kubainisha ukamilifu wa taarifa iliyowasilishwa kuhusiana na mali za kudumu za chama hicho," alisema CAG katika taarifa yake

Yaani hayo mabilioni machache tu bado mnaibiana sasa mkipewa nchi si ndio itakuwa balaa.. Vibilioni visivyofika 20 mnaibiana mpaka watu wanafungua Account Dubai na wananunua majumba huko, mkipewa nchi mtakuwa na tofauti gani na hao CCM?? Soma hapa tena..

MASUALA MENGINE YENYE SHAKA

Alisema masuala mengi yenye shaka ni ununuzi wa magari 10 yaliyonunuliwa kwa Sh milioni 559.03 bila kuhusisha kamati ndogo ya chama inayohusika na zabuni huku Sh milioni 27,500,000 zilitumika kununulia jenereta.

"Hata hivyo hakukuwa na ushahidi kuonyesha kwamba mchakato wa ununuzi ulikuwa wa kiushindani kama inavyoagizwa na mwongozo wa fedha wa chama hicho," alisema taarifa hiyo ya CAG

Alisema chama kililipa Sh milioni 47. 9 kununulia vifaa mbalimbali kwa tarehe tofauti kuanzia Novemba 2011 hadi Januari 2013.

Hata hivyo, hadi kufikia kipindi cha ukaguzi Januari 2014 vifaa vilivyolipiwa fedha hizo havikupokewa kwenye chama jambo ambalo ni kinyume na taratibu.

Sasa kama vimillion Mbowe anaiba tukiwapa Matrillion ya Bajeti si itakuwa hatari?? Kama magari 10 mwenyekiti wa Chama ndio anajipa tender alafu analeta magari chakavu tukiwapa nchi si tender zote watagawama Mbowe na Lowassa na rafiki zao? Kama chama kinalipa Million 47.9 kununua vifaa alafu inapita mpaka miezi sita hivyo vifaa havijanunuliwa mtaweza kweli kusimamia miradi ya kimaendeleo na kuisha kwa wakati? Mtaweza kusimamia barabara ambazo sasa tunatoka Mwanza mpaka Nachingwea huko tukitembea juu ya rami kwa usimamizi mzuri wa Magufuli??

Pamoja na kupokea Ruzuku bwelele haya ndio makao makuu ya chama cha upinzani Tanzania, Pembeni kuna banda la M-Pesa la kuhamasisha wajinga wachangie chama wakati wachache wanakula tu pesa za michango na ruzuku..
b1.jpg
 
Bado wapo wengi tu humo ndani ya chama, tunasubiri nao washughulikiwe ndio kidogo imani itarudi.
 
Nchi hii ngumu, yaani hao uvccm walikuwa wanawajua wabadhirifu wakawa kimya kama vile hakuna TAKUKURU wa polisi, wamesubiri mpaka Magu ametangaza kudeal na mafisadi ndani ya chama ndo wanajitokeza kujifanya wanafuatilia ina maana walikuwa hawawaoni. Kweli nchi inahitaji mfumo imara wala sio kiongozi imara kukabiliana na ubadhirifu. Akiondoka Magu akaja dhaifu mambo ovyo yanarudi tena!
 
Ccm ni wezi wakubwa sana kuwahi kutokea duniani ipo wapi sukita? Leo hii walio lifirisi sukita ni wabunge
Sukita ina wenyewe mkuu,ukiamua kuivalia njuga unaweza ukatamani kuzungusha minyororo kwenye makaburi ya marehemu waliowahi kuwa vigogo wa chama tawala.Labda bora kunyamaza.
 
Ukiangalia hivi viwanja vya michezo ambavyo vilijengwa na wananch leo tunaambiwa mali za ccm hii miliki ametoa nani??
 
MV DSM na Nyumba za serikali ni jipu linalonuka uvundo
Ebu Chadema tuonyesheni Jenereta mlilonunua kwa Million 27 mwaka 2013... Pia CAG alisema CDM mna account zaidi ya 200 kwenye mabenki mbalimbali ila ni Account 6 pekee ndio mlipeleka kwa CAG.. Sasa balance ya account zaidi ya 194 ziko wapi?? Hizo pesa anamiliki nani??
 
Sukita ina wenyewe mkuu,ukiamua kuivalia njuga unaweza ukatamani kuzungusha minyororo kwenye makaburi ya marehemu waliowahi kuwa vigogo wa chama tawala.Labda bora kunyamaza.
Kweli na baadhi yao walio hai ndio makada wakuheshimika ndani ya chama na wamepewa ubunge
 
Hebu soma hapa kwanza....



Yaani hayo mabilioni machache tu bado mnaibiana sasa mkipewa nchi si ndio itakuwa balaa.. Vibilioni visivyofika 20 mnaibiana mpaka watu wanafungua Account Dubai na wananunua majumba huko, mkipewa nchi mtakuwa na tofauti gani na hao CCM?? Soma hapa tena..



Sasa kama vimillion Mbowe anaiba tukiwapa Matrillion ya Bajeti si itakuwa hatari?? Kama magari 10 mwenyekiti wa Chama ndio anajipa tender alafu analeta magari chakavu tukiwapa nchi si tender zote watagawama Mbowe na Lowassa na rafiki zao? Kama chama kinalipa Million 47.9 kununua vifaa alafu inapita mpaka miezi sita hivyo vifaa havijanunuliwa mtaweza kweli kusimamia miradi ya kimaendeleo na kuisha kwa wakati? Mtaweza kusimamia barabara ambazo sasa tunatoka Mwanza mpaka Nachingwea huko tukitembea juu ya rami kwa usimamizi mzuri wa Magufuli??

Pamoja na kupokea Ruzuku bwelele haya ndio makao makuu ya chama cha upinzani Tanzania, Pembeni kuna banda la M-Pesa la kuhamasisha wajinga wachangie chama wakati wachache wanakula tu pesa za michango na ruzuku..
b1.jpg
khhaaaaaa...yaani wewe unaokoteza vihabari visivyo na uthibitisho wowote....unaleta hapa

Hoja ni Wizi wa UVCCM ambao hadi sasa TAKUKURU wanashughulika nao

Mbowe ni mtu safi...kama hayuko safi TAKUKURU wamkamate.....mbona wanaweza kukamata viongozi wa timu ya Simba wanashindwaje chadema?

Acheni kuokoteza okoteza.....you thieves have to face the reality...na ninyi UVCCM lazima muwe candidates namba moja wa mahakama ya mafisadi.....wezi wakubwa nyie
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom