Siyatambui mapinduzi Guinea, Rais Conde namtambua kama Rais bado waliomteka nyara wamrudishe upesi

Siyatambui mapinduzi Guinea, Rais Conde namtambua kama Rais bado waliomteka nyara wamrudishe upesi

Sasa huko Guinea huyo rais Conde ndio hivyo tena kishashindwa kajiongezea muda kinyume cha katiba na udikteta juu.

Sasa kwa jeshi linalojitambua na lenye uzalendo na nchi yao hawawezi kuwaacha wananchi wao wateseke na ndio maana hata baada ya hayo mapinduzi kufanyika kuna raia wengi wamethubutu hata kuwabusu wanajeshi kama ishara ya kuonyesha uungwaji wao mkono wa tukio la mapinduzi.
Mzee haya mambo ya uzalendo usiyaamini sana mara nyingi huwa ni kisingizio tu cha wao kushika dola na kutekeleza ajenda zao za siri. Uzalendo wa kweli ulikuwa kwanza kuzuia mabadiliko ya katiba, pili kama tayari wamepindua nchi waitishe uchaguzi vyama vingine vishiriki.
 
Bunge la Guinea kwa Vikao vyake halali kabisa lilijiongezea posho na kupitisha kuwa Raisi aliyepo Raisi aliyepo ruksa kugombea tena

Kikosi kimoja cha makomandoo bila kushirikisha vikosi vingine vya jeshi wakaenda kumteka Raisi Condé na kumficha wanakojua wao.

Mimi bado namtambua Rais Conde kama Rais halali wa Guinea na nautaka umoja wa Afrika usimtambue huyo jambazi Mamady Doumbouya na Kikosi chake cha majambazi makomandoo waliomteka Rais halali na kujitia eti wamempindua.

Vikosi vingine nendeni mkalipindue hilo jangili. Mamady Doumbouya arudishwe Rais Conde

Naitaka jumuiya ya kimataifa ilaani huo utekaji nyara na hilo Jambazi linalojiita limepindua liuawe chap chap

Kwa mujibu wa katiba ya Guinea hakuna njia ya Jeshi ya kumuondoa Raisi aliyepo madarakani. Jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba
Wewe umtambue usimtambue ni nani wakati hata hawakujui na huna lolote la kuwafanya zaidi ya kujiumiza. Hata mimi sikutambui zaidi ya kutaka kiki kumbaff
 
Mzee haya mambo ya uzalendo usiyaamini sana mara nyingi huwa ni kisingizio tu cha wao kushika dola na kutekeleza ajenda zao za siri. Uzalendo wa kweli ulikuwa kwanza kuzuia mabadiliko ya katiba, pili kama tayari wamepindua nchi waitishe uchaguzi vyama vingine vishiriki.
Ndio mchakato wanaotaka kuanzisha sasa hivi. Kwa wakati tulio nao usitegemee jeshi kukaa madarakani kwa muda mrefu na serikali yoyote wanaounda ya mpito lazima ishirikishe wanasiasa raia.

Hakuna njia yoyote ya kuweza kuondoa utawala wa kiimla kama sio kwa mapinduzi ya kijeshi kwani wao madikteta ndio wamehodhi tume za uchaguzi, polisi, usalama wa taifa nk.
 
Mamady Doumbouya anaishi kama panya kujificha


Kafanya vizuri sana kuifuta katiba ya Guinea sababu ile ilikuwa in Linda Rais Sasa sababu kuifuta kuua Rais ruksa sababu hana katiba in atommlinda asishitakiwe au kupinduliwa kwa kuuuwa
Post yako haieleweki..!!
 
Back
Top Bottom