Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,225
- 1,993
Wangetaka kuachia madaraka tungeona hata dalili wakitamka wana lengo la kuitisha uchaguzi ndani ya muda fulani. Historia ya mapinduzi mengi yanayofanyika Afrika wanajeshi huwa hawatoki kwahiyo raia mnakuwa mmeondoa tatizo mmeingiza tatizo na wanajeshi huwa hawana uwezo wa kuongoza nchi.Kwa siku moja tu !!. Lazima mazingira ya kuirudisha serikali kwa raia yaandaliwe . Ikiwemo na hilo Bunge lililofanya mambo haramu lazima liondolewe .