maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Unafikiri Macky Sali wa Senegal alikuwa hamiliki vyote ulivyotaja? Wananchi wakiamua wameamua na wakikataa usiibe huibiNi ngumu kumuondoa Samia kwa katiba hii.
*Yeye ndiye anamiliki dola.
*Yeye ndiye mwenyekiti wa chama tawala.
*Yeye ndiye anapotisha jina la mgombea wa chama tawala.
*Yeye ndiye anapitisha mgombea wa vyama vya upinzani (kupitia viongozi wa tume huru ya uchaguzi (ambao wanawajibika kwake). Akiwaagiza wakuwelee pingamozj hutoboi.
Anashindwaje kupita.
??