Siyo kosa kama mtu anataka kumuondoa Samia 2025

Siyo kosa kama mtu anataka kumuondoa Samia 2025

Ni ngumu kumuondoa Samia kwa katiba hii.
*Yeye ndiye anamiliki dola.
*Yeye ndiye mwenyekiti wa chama tawala.
*Yeye ndiye anapotisha jina la mgombea wa chama tawala.
*Yeye ndiye anapitisha mgombea wa vyama vya upinzani (kupitia viongozi wa tume huru ya uchaguzi (ambao wanawajibika kwake). Akiwaagiza wakuwelee pingamozj hutoboi.

Anashindwaje kupita.
??
Unafikiri Macky Sali wa Senegal alikuwa hamiliki vyote ulivyotaja? Wananchi wakiamua wameamua na wakikataa usiibe huibi
 
Kweli upo wa CCM kuhusu jambo hilo, lakini hakuna sababu ya kugombana na watu wanaoutaka urais.

Achilles heel ya Rais Samia ni kwamba anakopa sana hela, watu wanaishi beyond their means.

Hizi hela zote zinazokopwa, utafika wakati wa malipo.

Hiki ndicho chanzo cha vita. Pesa zote zinamilikiwa na watu wachache.

Pesa kidogo sana zinabakia kwa wale wengine.

Kwahiyo lazima itokee vita kupunguza idadi ya watu,ili pesa zitoshe.
CCM haiwezi kutuletea kiongozi mwadilifu sababu magenge ya wahuni na majambazi yapo CCM
 
CCM haiwezi kutuletea kiongozi mwadilifu sababu magenge ya wahuni na majambazi yapo CCM
bora ccm hao chadema kuna muadilifu pale unavyoona ? Genge la wahuni tu , bora ccm kuna mambo wakirekebisha watakuwa sawa, magu alithubutu kwa kweli ingawa alichokosea alipitiliza hadi kubana wafanya biashara, ilitakiwa abane watumishi wa uma tu wafanyabiashara awaache wajiachie yeye ale kodi tu
 
bora ccm hao chadema kuna muadilifu pale unavyoona ? Genge la wahuni tu , bora ccm kuna mambo wakirekebisha watakuwa sawa, magu alithubutu kwa kweli ingawa alichokosea alipitiliza hadi kubana wafanya biashara, ilitakiwa abane watumishi wa uma tu wafanyabiashara awaache wajiachie yeye ale kodi tu
Majangili lazima yajibane CCM
 
Ni ngumu kumuondoa Samia kwa katiba hii.
*Yeye ndiye anamiliki dola.
*Yeye ndiye mwenyekiti wa chama tawala.
*Yeye ndiye anapotisha jina la mgombea wa chama tawala.
*Yeye ndiye anapitisha mgombea wa vyama vya upinzani (kupitia viongozi wa tume huru ya uchaguzi (ambao wanawajibika kwake). Akiwaagiza wakuwelee pingamozj hutoboi.

Anashindwaje kupita.
??
Hivi vyote havifui dafu mbele ya umma ukiamua, tatizo ni watanzania na siyo katiba
 
Kweli upo wa CCM kuhusu jambo hilo, lakini hakuna sababu ya kugombana na watu wanaoutaka urais.

Achilles heel ya Rais Samia ni kwamba anakopa sana hela, watu wanaishi beyond their means.

Hizi hela zote zinazokopwa, utafika wakati wa malipo.

Hiki ndicho chanzo cha vita. Pesa zote zinamilikiwa na watu wachache.

Pesa kidogo sana zinabakia kwa wale wengine.

Kwahiyo lazima itokee vita kupunguza idadi ya watu,ili pesa zitoshe.
Mama amewaachia watu wapige watakavyo
Yeye kajichukulia bandari na ngorongoro, vita ni lazima

Alafu anataka tena 2025
Tumemwambia alete tume huru na katibapya analeta usanii ngoja apambane na mkono wa shetani
 
Mama amewaachia watu wapige watakavyo
Yeye kajichukulia bandari na ngorongoro, vita ni lazima

Alafu anataka tena 2025
Tumemwambia alete tume huru na katibapya analeta usanii ngoja apambane na mkono wa shetani
Maza anaitafuna nchi kupitia mapacha wa4(JK, Abdul, Rostam na Makamba)
 
Maza anaitafuna nchi kupitia mapacha wa4(JK, Abdul, Rostam na Makamba)
Mimi sidhani kama tatizo ni hao , haya madudu yanayotokea halmshauri ni ya kutisha na hatuoni hatua ikichukuliwa hilo ndio linalovunja moyo
Imagine jana mfanyabiashara arusha anamwbia makonda kalipa 21m serikalini ikaingizwa 3m tu , sasa hapo ni arusha tu vipi nchi nzima hali iko vipi? Na wahusika kila siku cag anawataja ila hatusikii hatua zikichukuliwa
 
Mimi sidhani kama tatizo ni hao , haya madudu yanayotokea halmshauri ni ya kutisha na hatuoni hatua ikichukuliwa hilo ndio linalovunja moyo
Imagine jana mfanyabiashara arusha anamwbia makonda kalipa 21m serikalini ikaingizwa 3m tu , sasa hapo ni arusha tu vipi nchi nzima hali iko vipi? Na wahusika kila siku cag anawataja ila hatusikii hatua zikichukuliwa
DED kateuliwa na nani? si makada wa CCM
 
Back
Top Bottom