maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Unafikiri Macky Sali wa Senegal alikuwa hamiliki vyote ulivyotaja? Wananchi wakiamua wameamua na wakikataa usiibe huibiNi ngumu kumuondoa Samia kwa katiba hii.
*Yeye ndiye anamiliki dola.
*Yeye ndiye mwenyekiti wa chama tawala.
*Yeye ndiye anapotisha jina la mgombea wa chama tawala.
*Yeye ndiye anapitisha mgombea wa vyama vya upinzani (kupitia viongozi wa tume huru ya uchaguzi (ambao wanawajibika kwake). Akiwaagiza wakuwelee pingamozj hutoboi.
Anashindwaje kupita.
??
Tutaenda kutoa kopi kutumia hiyo form iliyoprintiwaSi walisema imeprintiwa form moja tu, afu printa wameivunja.
Yani tatizo lipo hapoInawezekana samia akawa sio kiongozi bora
Ila sasa yule anayemtukana hafai hata kuitwa kiongozi
CCM haiwezi kutuletea kiongozi mwadilifu sababu magenge ya wahuni na majambazi yapo CCMKweli upo wa CCM kuhusu jambo hilo, lakini hakuna sababu ya kugombana na watu wanaoutaka urais.
Achilles heel ya Rais Samia ni kwamba anakopa sana hela, watu wanaishi beyond their means.
Hizi hela zote zinazokopwa, utafika wakati wa malipo.
Hiki ndicho chanzo cha vita. Pesa zote zinamilikiwa na watu wachache.
Pesa kidogo sana zinabakia kwa wale wengine.
Kwahiyo lazima itokee vita kupunguza idadi ya watu,ili pesa zitoshe.
Lakini wanakwambia maza ameleta maendeleo ambayo hayaonekaniTutaenda kutoa kopi kutumia hiyo form iliyoprintiwa
bora ccm hao chadema kuna muadilifu pale unavyoona ? Genge la wahuni tu , bora ccm kuna mambo wakirekebisha watakuwa sawa, magu alithubutu kwa kweli ingawa alichokosea alipitiliza hadi kubana wafanya biashara, ilitakiwa abane watumishi wa uma tu wafanyabiashara awaache wajiachie yeye ale kodi tuCCM haiwezi kutuletea kiongozi mwadilifu sababu magenge ya wahuni na majambazi yapo CCM
Majangili lazima yajibane CCMbora ccm hao chadema kuna muadilifu pale unavyoona ? Genge la wahuni tu , bora ccm kuna mambo wakirekebisha watakuwa sawa, magu alithubutu kwa kweli ingawa alichokosea alipitiliza hadi kubana wafanya biashara, ilitakiwa abane watumishi wa uma tu wafanyabiashara awaache wajiachie yeye ale kodi tu
Hivi vyote havifui dafu mbele ya umma ukiamua, tatizo ni watanzania na siyo katibaNi ngumu kumuondoa Samia kwa katiba hii.
*Yeye ndiye anamiliki dola.
*Yeye ndiye mwenyekiti wa chama tawala.
*Yeye ndiye anapotisha jina la mgombea wa chama tawala.
*Yeye ndiye anapitisha mgombea wa vyama vya upinzani (kupitia viongozi wa tume huru ya uchaguzi (ambao wanawajibika kwake). Akiwaagiza wakuwelee pingamozj hutoboi.
Anashindwaje kupita.
??
Kuna viongozi miaka ya nyuma walilisema wazi. Ukitaka biashara yako iwe safi jiunge CCMMajangili lazima yajibane CCM
Ila siyo hawa wananchi wajinga wa Tanzania ambao wanaona maendeleo ni hisani ya Rais na siyo kodi zaoUnafikiri Macky Sali wa Senegal alikuwa hamiliki vyote ulivyotaja? Wananchi wakiamua wameamua na wakikataa usiibe huibi
Sumaye hana akili, Hanang alikaa zaidi ya miaka 15 kama mbunge na PM 10 Years lakini aliacha Wilaya nzima haina hata high schoolKuna viongozi miaka ya nyuma walilisema wazi. Ukitaka biashara yako iwe safi jiunge CCM
Hata Senegal walikuwa hawaamini kama inawezekana mpaka ikawezekanaIla siyo hawa wananchi wajinga wa Tanzania ambao wanaona maendeleo ni hisani ya Rais na siyo kodi zao
Mama amewaachia watu wapige watakavyoKweli upo wa CCM kuhusu jambo hilo, lakini hakuna sababu ya kugombana na watu wanaoutaka urais.
Achilles heel ya Rais Samia ni kwamba anakopa sana hela, watu wanaishi beyond their means.
Hizi hela zote zinazokopwa, utafika wakati wa malipo.
Hiki ndicho chanzo cha vita. Pesa zote zinamilikiwa na watu wachache.
Pesa kidogo sana zinabakia kwa wale wengine.
Kwahiyo lazima itokee vita kupunguza idadi ya watu,ili pesa zitoshe.
Hapana mkuu, kwa anasa za viongozi wetu tulipaswa kuamka mapema snHata Senegal walikuwa hawaamini kama inawezekana mpaka ikawezekana
Maza anaitafuna nchi kupitia mapacha wa4(JK, Abdul, Rostam na Makamba)Mama amewaachia watu wapige watakavyo
Yeye kajichukulia bandari na ngorongoro, vita ni lazima
Alafu anataka tena 2025
Tumemwambia alete tume huru na katibapya analeta usanii ngoja apambane na mkono wa shetani
Mimi sidhani kama tatizo ni hao , haya madudu yanayotokea halmshauri ni ya kutisha na hatuoni hatua ikichukuliwa hilo ndio linalovunja moyoMaza anaitafuna nchi kupitia mapacha wa4(JK, Abdul, Rostam na Makamba)
DED kateuliwa na nani? si makada wa CCMMimi sidhani kama tatizo ni hao , haya madudu yanayotokea halmshauri ni ya kutisha na hatuoni hatua ikichukuliwa hilo ndio linalovunja moyo
Imagine jana mfanyabiashara arusha anamwbia makonda kalipa 21m serikalini ikaingizwa 3m tu , sasa hapo ni arusha tu vipi nchi nzima hali iko vipi? Na wahusika kila siku cag anawataja ila hatusikii hatua zikichukuliwa
Senegal Kuna wananchi, lkn Tanzania Kuna maiti zinazotembea. Unaona hiyo tofauti?Unafikiri Macky Sali wa Senegal alikuwa hamiliki vyote ulivyotaja? Wananchi wakiamua wameamua na wakikataa usiibe huibi