Sasa tunataka sheria isimame ili dereva asivurugiwe ratiba kwa kutunga sheria mpyaKwanza nimekuambia kuwa maelezo yako kuwa ukipita sehemu ya zebra unakamatwa hata kama hakuna mtembea kwa miguu siyo kweli labda kama ume-over speed. Pili kesi ya kubambikiwa utajitetea kadri itakavyoendesha na ukishinda unaweza kudai fidia kwa taratibu zilizopo. Hivyo ni kweli safari yako itakuwa imevurugwa na hakuna namna.
Kila dereva anamiliki gari lake?Imenunua gari lini kijana?
Hakuna kesi yo yote duniani iwe ya madai au jinai ambayo haivurugi ratiba ya mtu. Jambo la msingi tujiepushe na hizo kesi na lingine walinda Sheria waelimishwe na wasisitizwe watende haki!Sasa tunataka sheria isimame ili dereva asivurugiwe ratiba kwa kutunga sheria mpya
Sijui kama unaelewa! Mtu anasafari mkoani, anakutana na trafiki anambambikia kosa ambalo hakubaliani na nalo, ...chombo chake kinashikiliwa! Anashindwa kusafiri ...wewe unaona sheria hapo iko sasa kabisaa kumharibia mtu safari kusudi tu kizembeHakuna kesi yo yote duniani iwe ya madai au jinai ambayo haivurugi ratiba ya mtu. Jambo la msingi tujiepushe na hizo kesi na lingine walinda Sheria waelimishwe na wasisitizwe watende haki!
Ndiyo nikasema sheria bado inamapungufu sanaSiku hizi watanzania tunazidi kuwa wajinga kwenye sheria za barabarani. Mtu anavuka kivuko huku taa ya wavuka kwa miguu ikiwa inawaka nyekundu, na wanavuka kundi huku taa za magari zimeruhusiwa. Ukiwauliza wanasema kwani huoni zebra. Yaani wanadhani kukiwa na zebra yeye ni halal kuvuka hata kama taa haimruhusu.
Nimekuambia kwa madereva wasiozingatia sheria za barabarani ni sawa kabisa, tena wanatakiwa wawekwe rumande!Sijui kama unaelewa! Mtu anasafari mkoani, anakutana na trafiki anambambikia kosa ambalo hakubaliani na nalo, ...chombo chake kinashikiliwa! Anashindwa kusafiri ...wewe unaona sheria hapo iko sasa kabisaa kumharibia mtu safari kusudi tu kizembe
Ni muhimu kusimama kwenye zebra siyo kila dreva ni mtu makini wengine paka guswe giswe ndiyo wawe makiniKila dereva anamiliki gari lake?
Twende hiviTujadili sheria ya usalama barabarani inasemaje kama dereva hakubaliani na kosa anatakiwa kusikilizwa na nani pasipo kuharibu safari yake kwa kushikiliwa chombo chake?
Mfano mwingine, kunaweza kukawa na kasoro ndogo tu ya kreki ya kioo ambayo mathalani kioo kimekreki wakati huo, Sheria kwanini isiweke utartibu wa kuonya - Pre-offense! Kwamba dereva aandikiwe onyo liliso na faini kwenye database yao halafu baada ya siku saba ikipita ..popote akija kukamatwa askari mwingine akikagua na kuikuta hiyo taarifa anaaandika faini kamili?
Hii ya kumwandikia faini dereva papohapo pasipo kuonya ...ni sheria za kikoloni sana kwasababu baadhi ya ubofu hutokea ghafla ikiwemo kioo, taa za breki n.k
Ninayo mkuuHuna elf tatu hapo?
Katiba mpya yenye mantiki ni muhimu!Habari
Tunaongozwa na sheria zilizo expire muda wake!
Iko haja sheria ya usalama barabarani ifanyiwe marekebisho kwani ilitungwa zamani enzi hizo Tanzania hatukuwa na barabara za lami na magari ya kutosha!
1. Siyo kila zebra lazima mwenye gari asimame hata kama hakuna mtu,
lakini baadhi ya Trafiki waliowrngi huitumia sheria hii vibaya kujinufaisha na kubambikia watu!
Hii yote inawezekana kwasababu sheria inawalinda trafiki kumkandamiza dereva! Hivyo hiyo sheria imepitwa na wakati kuwepo sasa!
Kama nchi sasa tunatakiwa tuwe na zebra za aina tofauti kuliko sasa vibao vyote ni black and White!
Nashauri Kuwekwe sheria mpya kwa vibao vya alama za wavuka kwa miguu iwe kama ifuatavyo!
1. Zebra za mistari nyekundu na nyeupe hiyo viwekwe kwenye vivuko vya watembea mguu kuonesha ni lazima kwa dereva kusimama (Lazima); na mara nyingi vibao hivyo vitawekwa kwenye maeneo mhimu tu ya msongamano! (Hii itamuamrisha dereva lazima kusimama kupisha watembea kwa miguu)
2. Zebra za mistari nyeupe na kijani itumie kuonesha utahadhari lakini hii iwe rasmi kwa wote kwa mtembea kwa miguu kuonesha atavuka endapo tu kukiwa salama!
(Hii itamuelekeza mtembea kwa miguu kuvuka kwa tahadhari kwa usalama wake)
Je, Endapo kuna kosa na dereva hakubaliani na kosa hilo sheria inasemaje kuhusu adhabu?
Kwa sheria ya sasa kwakweli ni mbovu mno, Endapo traffic akiamua kumbambikia kosa dereva ambalo hakubaliani nalo, huwa kuna fomu maalum ya kujaza na dereva kusaini ili kwenda mahakamani!
Na kama itakuwa hivyo lazima chombo cha moto anachoendesha dereva kishikiliwe police hadi pale mahakama itakapoamua!
Sasa chukulia mfano: dereva anakwenda mbeya, halafu kakamatwa chalinze kwa kosa ambalo hakubaliani nalo, inabidi Apache gari hapo chalinze hadi pale mahakama itakapoamua ( Hii sheria ya muundo huu haitekelezeki na sijui waliotunga walikuwa na akili gani)
Nashauri, endapo kuna mazingira ya dereva kutokubaliana na kosa, uwekwe utaratibu wa kuchukua maelezo ambayo yanakuwa kwenye karatasi kaboneted, polisi aandike maelezo yake, pia dereva naye aandike palepale maelezo yake pasipo kushurutishwa, halafu nakala ya juu achaniwe dereva apewe ili akaripoti kwenye kituo cha polisi kilichokaribu naye ndani ya siku 7 baada ya tukio, then ipangwe Sikh ya kusikiliza hiyo kesi online kupitia ofisi za police traffic na iamuriwe baada ya kusikiliza pande zote (dereva na traffic )
Kwa dereva ambaye hatakwenda kuripo kwa ajili ya kesi hiyo aandikiwe faini kwa maana kesi itakuwa imesikilizwa kwa upande mmoja!
Hii italeta nidhamu kwa trafiki wanaobambikia watu makosa kwasababu, endapo kutakuwa na malalamiko mengi ya dereva kutokubaliana na kosa kwenye database ya polisi na ikionesha trafiki yule yule kufanya kosa kwa wengi basi ASKARI huyo aondolewe barabarani!
Zipo sheria nyingi sana za kufumua lakini kiufupi sheria ya usalama barabarani ifumuliwe!
Usipokuwa mvumilivu barabarani kwa sasa unaweza piga trafiki kwa jaziba barabarani kumbe yeye hana hatia Bali anasimamia sheria mbovu ipasavyo kwa maslahi yake!
Kama kuna wanachopaswa kukagua, ni hali ya hayo magurudumu au chochote kama kiko katika hali salama au hatarishi na sio mwaka.Hizi ndiyo hoja za kizalendo na inabidi wote tuiunge mkono, katika kumuunga mkono nashauri sjitokeze kituo chochote cha polisi wa usalama barabarani na awatake wakague magurudumu ya gari lake ni ya mwaka gani, na gari lake pia lilitengenezwa mwaka gani.
Usalama barabarani huanzia kwenye chombo, nawasilisha.
Gurudumu hutengenezwa kwa kutumia mpira ambao hutokana na utomvu wa miti, jinsi unavyopigwa na mvua na jua mpira hupotezwa ulaini wake na kuanza kukauka kisha unakatika. Wataalamu wanaotengeneza magurudumu hukadiria muda linaloweza kuishi kabla ya kukatika na muda huo huandikwa kwenye gurudumu ili litambulike kirahisi.Kama kuna wanachopaswa kukagua, ni hali ya hayo magurudumu au chochote kama kiko katika hali salama au hatarishi na sio mwaka.
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Gurudumu hutengenezwa kwa kutumia mpira ambao hutokana na utomvu wa miti, jinsi unavyopigwa na mvua na jua mpira hupotezwa ulaini wake na kuanza kukauka kisha unakatika. Wataalamu wanaotengeneza magurudumu hukadiria muda linaloweza kuishi kabla ya kukatika na muda huo huandikwa kwenye gurudumu ili litambulike kirahisi.
Hapa Tanzania kuna mijitu mitundu isiyojali maisha ya wengine, mijitu hii hutumia vifaa maalumu kuchonga mifereji iliyokwisha kwenye gurudumu wakisahau kuwa wanapunguza unene wa gurudumu hivyo linaweza kupasuka wakati wowote endapo litajazwa upepo kiwango chake.
Nchi zilizoendelea unakuta watu wengi wanasubiri taa yao nao waukesha upo sahihi Hong Kong kwa zile bara bara pana bila Zebra tusingevuka...Hongkong kwenye zebra karibu zote kuna taa ya kuongoza watu wakati wa kuvuka (kama ilivyo Mlimani city pale), kwa bongo taa za namna hiyo zipo lakini nyingi zimewekwa kwenye makutano ya barabara...