Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
to yeye umeipata picha ya huyo mwanamke anayesaka kipigo jinsi anavyokuwa wakati huo? Unamuachaje huyo kwa mfano...Ha ha haa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
to yeye umeipata picha ya huyo mwanamke anayesaka kipigo jinsi anavyokuwa wakati huo? Unamuachaje huyo kwa mfano...Ha ha haa
Watamu ndio ila sababu kuu ni HUNA UWEZO/UBAVU HUO. Usijaribu utapigwa.Tatizo ni watamu sana...
Unaujua utamu wa mwanamke aliyetoka kupigwa na yupo tayari kuomba msamaha..!?Na sitawahi kupiga mwanamke... Mlivyo watamu hivyo...
Ndio, ni wewe kusema atazeeka akiwa mpweke as if wewe ni mungu. Acha mambo ya kishamba.Si weye utakayezeeka mpweke.Kuna kitu kinakusumbua?
Yaani wanakera haswaUnamgonga kichwa azime tu
Naujua wa mwenye kisirani aliyenuna haswa alafu ukamla na kisirani chake ugomvi hua uisha kwa njia ya raha na utamu...Unaujua utamu wa mwanamke aliyetoka kupigwa na yupo tayari kuomba msamaha..!?
Endelea kuwaza hivyo hivyo, mimi na enjoy maisha nanyenyekewa na wife hafurukuti, na sijawahi kumrushia ngumi wala kofi wala teke.Watumwa wa wanawake
Ndio, ni wewe kusema atazeeka akiwa mpweke as if wewe ni mungu. Acha mambo ya kishamba.
Mpenzi akizingua anatimuliwa, wanawake wapo wengi.
😂😂😂😂KhaaTatizo ni watamu sana...
Hakuna kupiga mwanamke, unamla na mnuno, mgomo au kisirani chake hivyo hivyo...Mkuu ni mgumu moyo,anataka mpaka apige ndo ale mbususu
Hakika... au hamjijui kama nyie ni watamu...😂😂😂😂Khaa
Hahahaha...haki nacheka Mimi mbavu zanguHakuna kupiga mwanamke, unamla na mnuno, mgomo au kisirani chake hivyo hivyo...
Baada ya hapo anacheka cheka na kope zina mbwenza bwenza imeisha hiyo...
Mimi sijijui labda bwana mkulaji ndiyo anajuaHakika... au hamjijui kama nyie ni watamu...
Usicheke sana, kuna watu wanateseka na vita...Hahahaha...haki nacheka Mimi mbavu zangu
Toa muongozo...Mimi sijijui labda bwana mkulaji ndiyo anajua