The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Nilimlamba makofi mawili kisa alinidanganya huku mie nikijua kabisa ananidanganya na baada ya makofi mawili alikiri kuwa kweli alikuwa ananidanganya toka hapo hajawahi kunidanganya kwani ni utaratibu kabla ya kumuuliza kitu lazima nikifanyie utafiti kwanza kujua ukweli wake