Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Siku hizi napiga kwa upande wa kangaHa ha haaa,aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi napiga kwa upande wa kangaHa ha haaa,aisee
NotedNunua tu nyingine mkuu, huyo uliyenae sasa kwa vile sio wa Manzese hataivunja. Ila na wewe udhibiti simu yako ili asione sms zisizomhusu.
Mmmh jaman...alikutenda kipi kikubwa ?? maana sio kwa hicho kipigoIlikuwa hatari tupu, maana nilipiga kofi mbili ikifuatiwa na mtama. Na alipokuwa chini nikakanyaga
Nimewaza kwa kipigo hiko ndio kingenikuta mimi najiuliza sijui niwe nimefanya kosa gani hadi kupigwa hivyo. Kiukwel mwanaume anaepiga mimi siwezi mana najijua sina mabalaa ya kumfanya bwana anibutue hvyo vinginevyo mapenzi yaishe tu.Jamaa kauzu kweli
Wanaume wakigeuka ni hatareeNimewaza kwa kipigo hiko ndio kingenikuta mimi najiuliza sijui niwe nimefanya kosa gani hadi kupigwa hivyo. Kiukwel mwanaume anaepiga mimi siwezi mana najijua sina mabalaa ya kumfanya bwana anibutue hvyo vinginevyo mapenzi yaishe tu.
Kweli...lakini kupigwa jamani mimi hapana naomba Mungu isijenikuta na ndio maana mara zote huwa najitahidi sana kujishusha maugomvi siwezag ndio ikawe kipigoWanaume wakigeuka ni hataree
Mwaka 2013 Hasira zake za kukuta message isiyoeleweka kwenye Nokia Asha 200 yangu akaanza kunipiga vibao vya mgongo namuangalia tu kila nikimpanga haelewi akaona aitoshi akaenda beba jiwe nje akaja kunirushia sebuleni lingenipata ningeshakuwa kilema au marehemu nikalikwepa likavunja kioo cha tv yangu kichogo ya aina ya JVC
Nilienda funga mlango nilichomfanya hatakaa asahau
Nb : nilijifunza kutodeti tena na mademu wa uswahilini kwetu Manzese
Sijawahi kumpiga mke wangu....Ndoa ya miaka 8 sasa, plus dating kama wapenzi miaka 5, jumla miaka 13.
Huwa nampiga kwa ile fimbo ya nyama tuliyobarikiwa nayo wanaume.
Huwa akinikosea namuacha kwanza, namuangalia tuu... Baadae nikimkamata namsukumizia kipande cha nyama kwa hasira na spidi ya hatari, hadi anatoa machozi na anaomba msamaha mwenyewe, anasema nisamehe mume wangu sirudii tena.
Wengi wenu mnaponzwa na mdomo. Tena wengine utawasikia.... KAMA WEWE NI MWANAUME KWELI NIPIGE... huku anakutingishia manyonyo akitaka yaguse kidevu chako na mikono ipo kiunoni na mdomo umebinuliwa kwenda juu na wowowo linatingishwa na huku mguu mmoja umekata kona
SahihiKunguru mwoga uishi miaka mingi
kikubwa usichome Moto Kama mwezako sijui kesi inaendelea na usije piga eneo baya ,adhabu zuri unakata kidole kila afanyapo kosa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] don't try at homeIlikuwa hatari tupu, maana nilipiga kofi mbili ikifuatiwa na mtama. Na alipokuwa chini nikakanyaga
Mkuu ile id yako ya kinondoni sweetheart bado unaitumia ?[emoji1787]
[emoji477]️[emoji477]️[emoji477]️
NaamKunguru mwoga uishi miaka mingi
Mkuu ile id yako ya kinondoni sweetheart bado unaitumia ?
Ile ambayo moderators waliunganisha na id yako baada ya kujua ni mtu mmojaIpi hiyo?