Siyo mara ya kwanza kwa CCM kumtumia mtu na kumtupa. John W. Malecela alitumika mpaka akajiita "Tingatinga"

Siyo mara ya kwanza kwa CCM kumtumia mtu na kumtupa. John W. Malecela alitumika mpaka akajiita "Tingatinga"

Mtu aliyekwaa hadi uPM kwenye huko "kutumika" ndo unasema alitumika?

Unajua hata pension na marupurupu yake lakini!

Huko kwingine wanakotumika na hawaambulii hata chochote utasemaje sasa?

FYI:Huko kutumika kwa Makonda kila mwanaCCM anakutaka.
Huyu k.enge tangu Makonda ateuliwe kurudi kwenye siasa anahangaika sana. Siku 2 za mwanzo aliandika thread kama 20 hivi za Makonda kumbe anampa promo bila kujua. Per Diem anazolipwa Makonda kwenye kuzunguka kwake sio mchezo, bado mshahara na marupurupu mengine. Na hapo bado miaka 2 ya uchaguzi, anatokea fala mmoja anaropoka eti anatumika..
 
Huyu k.enge tangu Makonda ateuliwe kurudi kwenye siasa anahangaika sana. Siku 2 za mwanzo aliandika thread kama 20 hivi za Makonda kumbe anampa promo bila kujua. Per Diem anazolipwa Makonda kwenye kuzunguka kwake sio mchezo, bado mshahara na marupurupu mengine. Na hapo bado miaka 2 ya uchaguzi, anatokea fala mmoja anaropoka eti anatumika..
Huyo ni lofa tu,ukifuatilia threads zake za awali alikuwa anatumia sana neno " Sukuma Gang".
 
Huyu k.enge tangu Makonda ateuliwe kurudi kwenye siasa anahangaika sana. Siku 2 za mwanzo aliandika thread kama 20 hivi za Makonda kumbe anampa promo bila kujua. Per Diem anazolipwa Makonda kwenye kuzunguka kwake sio mchezo, bado mshahara na marupurupu mengine. Na hapo bado miaka 2 ya uchaguzi, anatokea fala mmoja anaropoka eti anatumika..
Tafuta pain killers utulize maumivu. Maana povu limekutoka hatari.
 
CCM imekuwa na tabia ya kuwatumia baadhi ya wanasiasa nyakati za mawimbi makali ya kisiasa na kisha kuwatupa.

Malecela miaka ya nyuma alikuwa na nguvu sana ya kisiasa. Kwa taarifa yenu tu ni kwamba mzee Mwinyi hakuwa chaguo la Nyerere la kurithi kiti cha urais baada ya yeye kung'atuka. Lkn ni nguvu ya Malecela iliyomfanya Mwinyi akawa rais na hatimaye Malecela kulamba uwaziri mkuu (nitawapa kisa kizima siku nyingine).

Malecela na Mwinyi hawakupendwa sana na Nyerere, hotuba zake (Nyerere) zilijaa vijembe kwa rais Mwinyi na Malecela. Ilienda hivyo mpk Malecela akaundiwa zengwe la OIC na kung'atuliwa uwaziri mkuu.

Malecela alitupwa pembezoni mwa ulingo wa siasa na huku akilalama kuwa amekuwa akitumika kama Tingatinga kuwachongea wengine barabara za kisiasa.

Mwingine ni mzee Mangula. Huyu alitupwa nje ya siasa mara tu baada ya Kikwete kuukwaa urais (kwann ? Nitawapa kisa kizima siku nyingine). Mzee wa watu akarudi kwao Iringa kulima nyanya. Mpk pale walipoona (muhula wa pili wa awamu ya 4) chama kinataka kuwafia mkononi ndipo mzee Mangula akaenda kubembelezwa na kurudishiwa nafasi yake chamani.

Kwahiyo Makonda anatumika tu ili kukivusha chama lkn baadaye yeye na sukuma gang wengine watatupwa kama toilet paper.
Mwaka 1985 wakati mwalimu nyerere anang'atuka madarakani na kuingia mzee Mwinyi malecela hakuwa na nguvu hiyo unayoisema na nafasi ya Waziri mkuu aliipata ndugu warioba.
 
Pamoja na kuwepo wanasiasa aina ya Magufuli na Makonda, jambo la muhimu kuliko yote ni wananchi kujielewa, kusimamia mambo yenye faida kwao bila kutegemea mtu mmoja kuwatetea.
Wananchi kutegemea mtu mmoja badala ya akili zao na wingi wao kuwawajibisha wanasiasa au vyama vyao ni uthibitisho wa ujinga uliopitiliza (upumbavu) na siyo jambo la kujivunia hata kidogo kama taifa.
Tunatakiwa kuwa na asilimia kubwa ya wananchi wanaojiamini, wanaomuunga mkono mwanasiasa kwa hoja zenye mantiki, zinazoeleweka zenye faida kwa mtu huyo mmoja, jamii hadi taifa.
Wawepo wananchi wengi wanaojiamini na wenye uthubutu kama Magufuli na Makonda, wapambane tupate mustakabali mwema kama taifa.
 
Una undugu na m.mawia!?,akili zenu zinafanana kabisa. IQ yako ni ndogo sana, kama ni mwanaume na una mke, nakuhakikishia lazima unagongewa tu. Wanaume wa akili kama zako huwa mmelegea sana.
sipo upande wowote kwasababu naona wote wapo kwa ajili ya maslahi yao tu si ccm wala chadema wala cuf kwasababu kila siku hali ni ileile tu mtaani...mfano kijiji ninachotoka mimi maji ni kero mno ndoo shiling 200 tena yanapatikana mbali sana ukija upande wa madarasa nako ni shida halafu atokee mtu aanze kutueleza eti ccm imefanya hili na hili wakati sisi hatuyaoni hayo kijijini kwetu
 
Siyo vyama vyote. Chadema ni wapinzani wa dhati.
Chadema ina hujumiwa na Mbowe kwa kulamba asali!! Hivi sasa anasuka hujuma ya kukichafua chama kwa kuwasamehe wasaliti “ covid 29” ili warudi chamani kabla ya uchaguzi mkuu!
 
CCM imekuwa na tabia ya kuwatumia baadhi ya wanasiasa nyakati za mawimbi makali ya kisiasa na kisha kuwatupa.

Malecela miaka ya nyuma alikuwa na nguvu sana ya kisiasa. Kwa taarifa yenu tu ni kwamba mzee Mwinyi hakuwa chaguo la Nyerere la kurithi kiti cha urais baada ya yeye kung'atuka. Lkn ni nguvu ya Malecela iliyomfanya Mwinyi akawa rais na hatimaye Malecela kulamba uwaziri mkuu (nitawapa kisa kizima siku nyingine).

Malecela na Mwinyi hawakupendwa sana na Nyerere, hotuba zake (Nyerere) zilijaa vijembe kwa rais Mwinyi na Malecela. Ilienda hivyo mpk Malecela akaundiwa zengwe la OIC na kung'atuliwa uwaziri mkuu.

Malecela alitupwa pembezoni mwa ulingo wa siasa na huku akilalama kuwa amekuwa akitumika kama Tingatinga kuwachongea wengine barabara za kisiasa.

Mwingine ni mzee Mangula. Huyu alitupwa nje ya siasa mara tu baada ya Kikwete kuukwaa urais (kwann ? Nitawapa kisa kizima siku nyingine). Mzee wa watu akarudi kwao Iringa kulima nyanya. Mpk pale walipoona (muhula wa pili wa awamu ya 4) chama kinataka kuwafia mkononi ndipo mzee Mangula akaenda kubembelezwa na kurudishiwa nafasi yake chamani.

Kwahiyo Makonda anatumika tu ili kukivusha chama lkn baadaye yeye na sukuma gang wengine watatupwa kama toilet paper.
Hovyo kabisa, kumbe lengo ni kumsema Bashite. Nilidhani unaleta habari za watu kutumiwa na kuachwa huko CCM.
 
Hivi sasa anasuka hujuma ya kukichafua chama kwa kuwasamehe wasaliti “ covid 29” ili warudi chamani kabla ya uchaguzi mkuu!
COVID 29 hawa unawajua wewe.
 
Back
Top Bottom