Siyo mpenzi sana wa Soka lakini itoshe kusema kwamba he is a G.O.A.T!

Kushinda ukiwa na sisi.

Kombe la dunia bila Messi ni upuuzi
Huo ndo uchaguzi wa busara... unachagua furaha tuu if you cannot beat them join them🧘‍♂🧘‍♂🧘‍♂🧘‍♂
 
Daah umefika mbali sana, world cup before messi zilikua upuuzi? Kila era na msisimko wake na watu wake

Nimeona nikuwekee picha hizi mbili... kama mashabiki walisema hivi kwa Origi... yeye kusema hivyo yupo sawaa tuu maana mpira ni ushabiki
 
Nilivokua nikiwasikia watu wanavyomlinganisha Messi na Pele nilijua huyo messi ni bonge la mchezaji sasa jana nikasema nimtazame dhidi ya Croatia nimemuona ni mchezaji wa wakawaida sana sio kama anavyokuzwa na vyombo vya habari au mashabiki yani hata PARK JI SUNG hamfikii nilichogundua ni kwamba kuna kampeni maalum ya kumkuza huyu mchezaji.
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…