Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Miss hata tuzo zake zote 2 za Balloon D'O ni za utata.
2010 alilalamikiwa kuchukua tuzo ya aliyekuwa anastahili Iniester.
2020 pia alilalamikiwa sababu alichukua tuzo ya Lewandosky hata Messi naye alikiri hivyo [emoji23]
Miss anaandaliwa kupewa tuzo ya mchongo kwa kupewa penalty zaidi ya 5 zote, anayekataa kuwa life is not fair ajiite Taahira [emoji28]
Sawa timu Andunje [emoji847]Hakika timu Christian mnatakiwa kunywa sumu tu,hakuna namna
Sawa timu Andunje [emoji847]
Labda huko kwenu ndyo GOAT huku kwetu ni JOTI
Kwenye huu mchezo amebaki goat mmoja
Kwa vigezo gani mkuu????Dunia haitaisha wapuuzi, badala kuzingatia mechi watu hua wanaenda kutafuta moment zao na kuendekeza mihemko yao. Alvarez ndio aliekua Hero wa Argentina kwa mechi ya jana.
MapunyeKwenye huu mchezo amebaki goat mmojaView attachment 2446863
Mashabiki wa Christina Benchaldo mna gubu sana.
Mbona kamguu kafupi sana, ndiyo kanasumbua watu hako!CHAGUZI NI MBILI; Uchague Kushinda Ukiwa Na Sisi AMA Ushuhudie Sisi Tukishinda 🇦🇷
View attachment 2445945
Kwa vigezo gani mkuu????
Ni kichaa vichaa ndo hutukana.ukiona mtu anaanza kutukana badala ya kuleta hoja jua hana hoja.
View attachment 2446755
Jamaa yenu hata namba hapati[emoji23][emoji23] kuanzia Manyumbu fc ambapo akienda Moses Phiri anakuwa na namba ya uhakika...Mpaka Timu yake ya taifa ya wazee kina Mapepe
Nani Kapteni wa timu ya Argentina?
Kwangu pele ni bora, ila messi sio mchezaji wa kawaida.Nilivokua nikiwasikia watu wanavyomlinganisha Messi na Pele nilijua huyo messi ni bonge la mchezaji sasa jana nikasema nimtazame dhidi ya Croatia nimemuona ni mchezaji wa wakawaida sana sio kama anavyokuzwa na vyombo vya habari au mashabiki yani hata PARK JI SUNG hamfikii nilichogundua ni kwamba kuna kampeni maalum ya kumkuza huyu mchezaji.
uhondo wa ngoma uingie uchezeMbona kamguu kafupi sana, ndiyo kanasumbua watu hako!