Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hakika timu Christian mnatakiwa kunywa sumu tu,hakuna namna
Miss hata tuzo zake zote 2 za Balloon D'O ni za utata.
2010 alilalamikiwa kuchukua tuzo ya aliyekuwa anastahili Iniester.
2020 pia alilalamikiwa sababu alichukua tuzo ya Lewandosky hata Messi naye alikiri hivyo [emoji23]
Miss anaandaliwa kupewa tuzo ya mchongo kwa kupewa penalty zaidi ya 5 zote, anayekataa kuwa life is not fair ajiite Taahira [emoji28]