Hapo papo hivyo muda sasa.Hao kina Francis Da Don ni mapunguani au wanatumwa kupinga kila wazo bila kutumia akili.
Gazeti la Serikali, linaweka front page, kazi iliyoota nyasi, na ina hang hewani kama mahame, tena pale si mbali na ilipoanzia ujenzi, miaka mitano hivi iliyopita, halafu vichwa panzi hawauoni ujumbe.
Vichwa vyenu vya kunywea kangara.
Jifunze mambo mengi yanayojiri duniani,kf mvua hunyesha kwa matashi yake Muumba,hivyo anayetukana mvua,atambue anamtukana mwenye mamlaka nayo ambaye ndiye Muumba na Muendeshaji wa vyote.
Jidu La Mabambasi,
... kilichokufikirisha nini wakati taarifa rasmi ya serikali ni kuwa mradi umekamilika kwa 75%?
Mkuu usipokuwa na kitu kichwani kubali yaishe.wewe ni kilaza tu,umekomaa na mabox baada ya kupigwa za matako.
Tusaidiane kumshangaa aisee, maana mijitu mingine hadi inatia hasira, kwani hilo ni jengo linalojengwa kwenye kiwanja kimoja?,watu wengine bhana..
Yaani ukiwa kamanda wa ufipa ndio akili nayo inakuwa finyu kiasi hiki?
Mi CCM damu damu ila sina utapiamlo wa akili kama ninyi!Yaani ukiwa kamanda wa ufipa ndio akili nayo inakuwa finyu kiasi hiki?
Yeye amezungumzia zile nyasi zilizoota pale chini ya daraja ndio zinaashiria ujenzi kusimama, tujikite kwenye mada yake ya hizo nyasiSio kila mtu ni kipofu au mazezeta kama nyie waimba mapambio. Tatizo lenu hata kumbukumbu hamna. Kama serikali ilitangaza mwaka 2017 kuwa ujenzi wa kipande cha Dar - Morogoro ulikuwa umekamilika kwa 70% (na kuwa kufikia December 2018 kingekuwa kimekilika) iweje leo 2020 May bado mradi umekamilika kwa 75%?
Hivi nyie Mataga mnajielewa kweli?
Kumbe ndio maana ni rahisi sana kwa Mbowe kuendelea kuwaburuza na kutumbua ruzuku za chama kwa raha zake.Mi CCM damu damu ila sina utapiamlo wa akili kama ninyi!
Everything should make sense.
Ukisha kuwa indoctrinated, huwa critical thinking hakuna kabisa.Kumbe ndio maana ni rahisi sana kwa Mbowe kuendelea kuwaburuza na kutumbua ruzuku za chama kwa raha zake.
Shallow!Yeye amezungumzia zile nyasi zilizoota pale chini ya daraja ndio zinaashiria ujenzi kusimama, tujikite kwenye mada yake ya hizo nyasi
Punguza hicho kiingereza cha ugoko kamanda.Ukisha kuwa indoctrinated, huwa critical thinking hakuna kabisa.
Maitia aibu CCM.
Yeye amezungumzia zile nyasi zilizoota pale chini ya daraja ndio zinaashiria ujenzi kusimama, tujikite kwenye mada yake ya hizo nyasi
Kazi inaendelea vizuri tu, station ya Dar ukipita sasa hivi inavutia, wiki jana kwenye kutafuta mkate nimeenda hadi station ya Kidete (mbele ya Kilosa) kwa kufuata reli, huko kote kazi inaendelea kwa kasi.Asante mkuu ingalau wewe unaweza kudiscuss kwa kutumia akili.
Najiuliza
-hapo unapoiona picha nguzo ndio imefika na taruma la zege haliendelei
-hapo unaona ni bado hapa mjini DSM(na kazi haiendelei)
-kwenye picha hata kibarua haonekani
-Kwa nyasi tunazoziona hakuna gari ya kifusi, zege, kokoto wala mchanga iliyopita hapo muda mrefu
Ni vema basi tungepata toka Daily News picha za kule kunakoendelea kujengwa ili tuione hiyo 75% ya maendeleo.
Umeshazoe vitu vya kichina ambavyo vinang'aa ng'aa
Kazi inaendelea vizuri tu, station ya Dar ukipita sasa hivi inavutia, wiki jana kwenye kutafuta mkate nimeenda hadi station ya Kidete (mbele ya Kilosa) kwa kufuata reli, huko kote kazi inaendelea kwa kasi.
Hii picha mbona kama imefanana na picha za kule kwetu ghadolite(zaire) kwa Mabutu
Jenga reli usilete maneno!Umeshazoe vitu vya kichina ambavyo vinang'aa ng'aa
Ha ha ha !Hii picha mbona kama imefanana na picha za kule kwetu ghadolite(zaire) kwa Mabutu
Sent using Jamii Forums mobile app
Imekutisha hiyo critical thinking?Punguza hicho kiingereza cha ugoko kamanda.