Ebwanaa ehhhUkiondoa nyasi hizi utasababisha mmomonyoko hivyo nguzo za reli zitaanguka, hata hivyo reli haiko chini iko juu ambako hakuna nyasi.
Pitia posti zangu vizuri.Kwa nini basi unaniuliza kuhusu Membe?
...Hakuna mahali nimekuuliza....
Usipende kuingilia mambo....Humjui Membe wewe?
Umekereka?Usipende kuingilia mambo.
Wewe ni lofa sana kamanda. Yaani ni nyumbu kabisa, unasahau hata ulichoandika sekunde moja tu.Umekereka?
Kwani Membe ni tembo?
Soma vizuri uelewe.Wewe ni lofa sana kamanda. Yaani ni nyumbu kabisa, unasahau hata ulichoandika sekunde moja tu.
Kwa hiyo wewe hujauliza sio?Soma vizuri uelewe.
Naona mmeulizwa na member humu kama mnamfahamu Membe na mnaruka kimanga!
Kwa mtu mwenye akili ameshawaweka kwenye bahasha stahiki.
Nope!Kwa hiyo wewe hujauliza sio?
So what were you asking here?:-Nope!
...Humjui Membe wewe?
Mkuu mbona ume stick kama rekodi ya santuri.So what were you asking here?:-
By the way mnomwogopea nini bwana mdogo yule?Membe hajambo?
Sasa na wewe ulikuwa unauliza nini?Mkuu mbona ume stick kama rekodi ya santuri.
Member aliyekuuliza huyu hapa!
Jibu mada kwanini mradi kuna sehemu zimeota nyasi!Sasa na wewe ulikuwa unauliza nini?
Ujenzi umesimama kwani ujenzi wa SGR unafanyika kwa kilomita zote 500 at once?Hilo la nyasi ni akili yako imekutuma hivyo. Hoja ni kuwa gazeti la serikali limechapisha front page picha inayoonyesha sehemu ambayo ujenzi wake umesimama muda mrefu sana sasa. Hata huko kuota nyasi ni kuashiria kuwa hakuna kinachofanyika hapo muda mrefu. Ulishaona wapi mahali watu wanapaganyaga kila siku pakaota nyasi?
Unanilazimisha kujibu wewe kama nani?Jibu mada kwanini mradi kuna sehemu zimeota nyasi!
Unataka mhogo ukuzibe tundu la haha kubwa???Kimsingi unaishi kwa kile kikutokacho mdomoni, ambacho kwako hakitofautiani sana na kile unachokitoa chooni.
Poleni sana kwa speculations zenu!Asante mkuu ingalau wewe unaweza kudiscuss kwa kutumia akili.
Najiuliza
-hapo unapoiona picha nguzo ndio imefika na taruma la zege haliendelei
-hapo unaona ni bado hapa mjini DSM(na kazi haiendelei)
-kwenye picha hata kibarua haonekani
-Kwa nyasi tunazoziona hakuna gari ya kifusi, zege, kokoto wala mchanga iliyopita hapo muda mrefu
Ni vema basi tungepata toka Daily News picha za kule kunakoendelea kujengwa ili tuione hiyo 75% ya maendeleo.
Ingalau pamoja na makandokando we umeeleza kitu.Poleni sana kwa speculations zenu!
Kwa taarifa yako kuanzia stesheni (mwanzo wa mradi) hadi Ilala (umbali wa km 2.5) treni inapita juu (via duct). Kwenye umbali huo (2.5km) tayari nguzo zote zimeshajengwa na kukamilika. Juu ya hizo nguzo zinalazwa beams ambazo hupachikwa (zaidi ya 70% ya beams zote kwenye eneo hilo zimeshawekwa). Beam hizo zinatengenezwa ndani ya kambi ya Ilala (Njoo ndani ya kambi ya Ilala uone kama beams hazitengenezwi). Katika eneo hilo almost kazi ya zege imebaki kidogo sana ndiyo maana huoni magari ya zege yakikimbizana.
Kuhusu magari ya kifusi inabidi nicheke kwanza😁😁😁!! Kifusi kinatumika kwenye ujenzi wa tuta (embankment), sasa kifusi cha nini wakati treni inapita juu? Acha ukilaza.
Hata hivyo maeneo ya mbele kama Vingunguti, Banana, nk. ambapo treni inapita chini hivyo tuta (embankment) kujengwa, ujenzi wa tuta haufanyiki wakati wa mvua. Kusisitiza ujenzi wa tuta wakati mvua inanyesha ni kudhihirisha tena kwamba wewe ni KILAZA MKUBWA wa mambo ya uhandisi ujenzi.
Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe! Halafu watu wenye nongwa kama nyie ndio mtakao kuwa wa kwanza kwa kiherehere kupanda treni reli itakapokamilika.
Laizer, unanikumbusha wale wenzangu darasani waliokuwa wanakuwa wa mwisho darasani.