Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Kutokana na skendo za Unyanyasaji wa kingono kwa Watoto, zaidi ya waumini 520,000 walitangaza kuachana na kanisa katoliki kwa mwaka 2022, hili ni ongezeko la 44% ukilinganisha na waliojitenga na kanisa mwaka 2021 ambao walikua 360,000.
Kwa ujumla kwa mwaka 2022 waaumini zaidi ya 900,000 kutoka madhehebu ya kiprotestant na katoliki walitangaza kuachana na madhehebu yao na kujitangaza kua hawana dini.
Kwa takwimu, 52.7% ya wajerumani hujitangaza wakristo, 37.8% wasio na dini yoyote na 9% mchanganyiko wa madhehebu na dini mbali mbali na kati yao 5% ni waislamu wengi wao wakiwa ni wahamiaji kutoka Bosnia na Uturuki.
Watu wengine wanasema watu hao hawaachani na kanisa bali wanakimbia michango na kodi za kanisa ambazo hukatwa kwenye mishahara yao ama mapato yao kati ya 8% na 9% ya mapato ya muumini.
Soma zaidi.
www.theguardian.com
Soma zaidi
Kwa ujumla kwa mwaka 2022 waaumini zaidi ya 900,000 kutoka madhehebu ya kiprotestant na katoliki walitangaza kuachana na madhehebu yao na kujitangaza kua hawana dini.
Kwa takwimu, 52.7% ya wajerumani hujitangaza wakristo, 37.8% wasio na dini yoyote na 9% mchanganyiko wa madhehebu na dini mbali mbali na kati yao 5% ni waislamu wengi wao wakiwa ni wahamiaji kutoka Bosnia na Uturuki.
Watu wengine wanasema watu hao hawaachani na kanisa bali wanakimbia michango na kodi za kanisa ambazo hukatwa kwenye mishahara yao ama mapato yao kati ya 8% na 9% ya mapato ya muumini.
Soma zaidi.
German Catholic church ‘dying painful death’ as 520,000 leave in a year
Speed of departures has been driven by series of child abuse scandals and accusations of a cover-up
Soma zaidi