Nna uhakika haukuwepo wakati wa nyerere na unachokijuwa chote ni uongo uliojazwa nao kichwani na ukauamini.
Hivi wewe ambae haukuwepo wala hauujuwi ukweli, ninibishane na wewe si kama nabisha na ukuta?
Sisi tunayajuwa madhila yaliyotukuta wakati huo, nashkuru kuwa leo tunaweza kutoa dukuduku letu, wako ambao hawakuwepo wakati huo lakini ni wenye muono na wanaelewa tunachokiongea.
Hebu msome huyu mchungaji umsikie maoni yake kuhusu wakati wa Nyerere (Kingereza kinapanda lakini, au nampigia mbuzi guitar?):
An account of this is from Reverend Christopher Mtikila, National Chairman of the Democratic Party of Tanzania, who opposed Nyerere. He said: "We experienced a very strange way of living because of the terror campaign with the security officers trained in the communist block. It was terrible. People did not trust anyone, even in the families. Wives would not trust their husbands and vice versa because it was a very severe terror campaign. People would disappear silently and no one would be allowed to think about them because if you are suspected to be thinking treason, then you also disappear. We lived under that repressive regime, I mean, all these years until this guy retired after the failure of Ujama, because we did not achieve all these things. We were made to think about things which were not there and believe they are there. To say otherwise was to say treason. This is the terror campaign which subdued us to the level of livestock, which always live in fear of slaughter anytime."
Yeah, the so called rev. Mtikila has the same thinking capacity as yours!! Ukweli upi unaoujuwa wewe uliye jaa udini!! Nimeshakueleza hapo juu kinachowasumbua nyie ni kudanganyana. I hope, very well, you know the man Salman Rushdie!!