Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Sawa auntie, tusubirie jibuAntie we think the same daah!! Nimeuliza hilo swali[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa auntie, tusubirie jibuAntie we think the same daah!! Nimeuliza hilo swali[emoji85] [emoji85] [emoji85]
sio nakuharibia Ulivosikia ana ofisi yake na kipato sio haba najua ulitamani upae akakuoe hapohapo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha kuniharibia, niliona mume kabisa pale, na nilikuwa nishapanga hadi fundi wa gauni langu la harusi na sehemu ya honey moon!!
Nilikuwa night duty ICU nililala wakati mgonjwa alikuwa mahtuti lakini hayo ni wnzi za trainingUmesema unafanya kazi ya kuhudumia watu. Hii ni kazi nzuri lakini inayohitaji kujitoa sana, ni changamoto zipi unakutana nazo?
Na ni changamoto gani kubwa uliwahi kukutana nayo hadi ukajutia kuifanya kazi hiyo?
Rafiki amewahi kuwa kikwazo ktk mafanikio yako? If yes, ulideal vipi na hali hiyo na je mliendelea kuwa marafiki?Sana tu ni muhimu kubadilishana mawazo lakini kuwa mwangalifu kuna wenye roho za birika anataka imperial ushauri lakini hakuelezi mipango yake
Ndio maana nakulaumu kwa kunicost mume leo, itabidi unilipe. We hujui ni fursa adimu sana ile!! Maana wengi wanakuja wanalia lia, sasa finaly mume wangu kaja alafu ukamkimbiza[emoji24] [emoji24] [emoji24]sio nakuharibia Ulivosikia ana ofisi yake na kipato sio haba najua ulitamani upae akakuoe hapohapo
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Yah ilinitokea ni m dada tulikuwa very close kumbe ananimaliza, nilimtupa kwa mbali. Aliniomba msamaha lakini. Nilimfahamisha kuwa urafiki hauwezi kuwa kama uleRafiki amewahi kuwa kikwazo ktk mafanikio yako? If yes, ulideal vipi na hali hiyo na je mliendelea kuwa marafiki?
Kama anao atuambie ni wangapi[emoji53][emoji53][emoji53]Sky
Una watoto??? Ni kipi ambacho ungependa watoto wako wajivunie kutoka kwako???
nilimkimbiza wapi na wakati wewe ulighairi??Ndio maana nakulaumu kwa kunicost mume leo, itabidi unilipe. We hujui ni fursa adimu sana ile!! Maana wengi wanakuja wanalia lia, sasa finaly mume wangu kaja alafu ukamkimbiza[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Good, partner wako anadeal vipi na situations kama hizo? Imewahi kuwa kikwazo ktk mahusiano yenu?Nilikuwa night duty ICU nililala wakati mgonjwa alikuwa mahtuti lakini hayo ni wnzi za training
Changamoto ni wakati umeplan life na kuna uhaba vwavwatu inabidi buingie mzigo sasa partner inabidi awe muelewa
Nina boys wawiliKama anao atuambie ni wangapi[emoji53][emoji53][emoji53]
Hongera udugu wanguNina boys wawili
EwaaaKama anao atuambie ni wangapi[emoji53][emoji53][emoji53]
Shikamoo dadaNina boys wawili
Huwenda mimi nikawa ndiye ke niliefanikiwa kuficha jinsia yangu kwa mda mrefu zaidi JF!![emoji28][emoji28][emoji28]Hivi na ww kumbe KE??
Wewe ni mama wa aina gani kwa wanao?Yah ilinitokea ni m dada tulikuwa very close kumbe ananimaliza, nilimtupa kwa mbali. Aliniambia msamaha lakini. Nilimfahamisha kuwaburafiki hamuwezi kuwa kama ule