Sky Eclat live interview on DJ sepetu show!!

Sky Eclat live interview on DJ sepetu show!!

Ninatumia sana mawasiliano kuongea na kuadhibu watoto, siamini physical punishment. Kabla ya kupika ninawauliza wanataka kula nini na chakula kikiiva asiyemalizacsahani inabidi aseme ni kwanini kwasababu nimefika alichotaka kula
Wanao wanakuchukuliaje?

Je unapata muda mzuri wa kuwa karibu nao na kutambua vipaji vyao?
Unawaona wapi baadae?
 
Pale unapotaka usipitweee na replay....
673382b087eac8dbd3038f20bdd4e94e.jpg
Shem ushanichoka aiseeee[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dada Sky, unaweza kutueleza sababu ya wewe kumtumia/kuitumia Picha ya Oprah kama Icon/Avatar katika profile yako....!?

Huyu Mama ni mwenye kujituma sana (yawezekana mnafanana)

Sina hakika kama anae Mwenza na Watoto....!!

Ni mama mwenye historia ya kubakwa (alipokuwa bado msichana)

Ndie mwanamke mweusi tajiri duniani...!!

Je unaweza kutuaminisha ama kutujuza, wewe nae unapitia ndoto za Mwanamke huyu kuyafikia Malengo yako...!?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mtoto mzuriiiiiij in the house

Naona shoga zako leo hawakukuita[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji7] [emoji8] [emoji41]
Mama angu acha kutafute wanaume kwa nguvu
 
Dada Sky, unaweza kutueleza sababu ya wewe kumtumia/kuitumia Picha ya Oprah kama Icon/Avatar katika profile yako....!?

Huyu Mama ni mwenye kujituma sana (yawezekana mnafanana)

Sina hakika kama anae Mwenza na Watoto....!!

Ni mama mwenye historia ya kubakwa (alipokuwa bado msichana)

Ndie mwanamke mweusi tajiri duniani...!!

Je unaweza kutuaminisha ama kutujuza, wewe nae unapitia ndoto za Mwanamke huyu kuyafikia Malengo yako...!?


Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi na ww ni KE??
 
Back
Top Bottom