Sky Eclat live interview on DJ sepetu show!!

Kwani we Mungu? Atakuwa tu smart si anarithi za mama yake.

Nimekumiss lakini.
Huyo anazaliwa mmoja tu kila baada ya miaka 50..Labda uvute subira..

Nimekumiss pia dear..Hope uko poa
 
Ni sehemu flani ambayo huwezi kuwa mpweke, lazima ujichanganye na wenzako ukijifanya wa high class lazima wakushushe kidoogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Kwaherini

Mimi swali langu ni moja tu, hapa ilikuwaje?
 
Huyo anazaliwa mmoja tu kila baada ya miaka 50..Labda uvute subira..

Nimekumiss pia dear..Hope uko poa
Niko poa kabisa.

Nishasubiri sana, na sasa ndio muda muafaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…