Uchaguzi 2020 Slogan ya CHADEMA katika uchaguzi ni "Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu". CCM slogan yao mwaka huu ni ipi?

Uchaguzi 2020 Slogan ya CHADEMA katika uchaguzi ni "Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu". CCM slogan yao mwaka huu ni ipi?

The Palm Tree

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
7,951
Reaction score
12,541
Mwaka 2015 slogan ya CCM ktk uchaguzi huo kama nakumbuka vizuri ilikuwa HAPA KAZI TU...

Hii ndiyo imekuwa mwongozo tangu wakati huo tangu walipotangazwa washindi na mpaka sasa ktk shughuli za kiserikali...

Baada ya miaka mitano, mwaka huu ni uchaguzi mwingine. Mpaka sasa binafsi kwa kweli sijui kauli mbiu inayowaongoza CCM ktk uchaguzi huu ni nini!

CHADEMA slogan yao inaeleweka na kwa kweli kwa sasa ni very popular miongoni mwa wananchi. Ni "UHURU, HAKI na MAENDELEO YA WATU"...

Bahati njema ni kuwa, wagombea wao kuanzia Udiwani, Ubunge na Urais wanaidadavua vizuri sana ktk kampeni zao.

Kiboko ni mgombea wao wa Urais Mh. Tundu Lissu anaitumia vyema kabisa katika kampeni zake kuombea kura na inawasisimua sana. Inaelekea kueleweka vizuri sana kwa watu/wapiga kura.

Wao CCM slogan yao ni ipi hasa?

Je, ni ".. MPOLE NA MNYENYEKEVU YAANI MAGUFULI?"; Je, ni ile ile ya mwaka 2015 yaani, "... HAPA KAZI TU?"

Au ni hii kusema, "...TUMEJENGA RELI YA SGR, TUMENUNUA NDEGE, TUMEJENGA STIGLA GOJI?"

Ni ipi Slogan yao hawa?

CC: Wakudadavua, Stroke, USSR, CCM, Bia yetu, Elitwege
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nimecheka kwa sauti
 
Naona umecomment kwa id ya uparodi wa kijani ukidhani ni id yako ya kutolea yaliyo moyoni kiukweli kweliii.[emoji851]
Mtu ambaye hawezi kufanya mkutano wa hadhara na kushinda kutwa anasumbua wananchi kwenye miji na vijiwe vyao anaambiwa anafanya campaign ya kisayansi.. UVCCM mnajua kupeana moyo
 
Mwaka 2015 slogan ya CCM ktk uchaguzi huo kama nakumbuka vizuri ilikuwa HAPA KAZI TU...

Hii ndiyo imekuwa mwongozo tangu wakati huo tangu walipotangazwa washindi na mpaka sasa ktk shughuli za kiserikali.
Ninachojua, chaguo la Mungu haimo, kwa sababu wameshashtuka ni kumkejeli Mungu.
 
Slogan haijengi nchi. Kulikuwa na slogani ya Kasi mpya ari mpya, lkn kumbe ikawa Kasi ya kutumbukizwa kwenye ufisadi.
Kama ni hivyo hata hayo masare yenu hayana maana.
 
Back
Top Bottom