YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Ili kushinda uchaguzi slogan huwa pia na mchango mkubwa
Slogan mfano us ACT wazaledo ya Kazi na Bata ilikuwa hata haileweki inalenga nani Mkulima,mfanyabiashara,machinga ,wavuvi,, wafugaji, au wafanyakazi? Ukiingalia ililenga wafanyakazi wa serikali tu ambao idadi yao ni laki nne tu sio jamii nzima ya watanzania
Ukija slogan ya Chadema ya maendeleo ya watu sip vitu imekaa kivituko na haieleweki kirahisi unatakiwa kuwa na Phd kuielewa sababu watu wanahitaji vitu mfano barabara, hospitali, shule nk wewe unasema sio yanatakiwa maedeleo ya watu. Watu wanajiuliza hayo maendeleo ya watu Yakoje? Toeni mifano mna wabunge wenu Chadema wamekaa miaka kumi hadi kumi na tano bungeni ni maendeleo yepi ya watu waliyoleta majimboni mwao tuone mfano kuwa yanafananaje? Unakuta hakuna wabunge wa Chadema hawakupeleka maendeleo ya vitu wala ya watu miaka yote waliyokaa bungeni. Hivyo hiyo Slogan ilichangia pia wananchi kuwanyima kura chadema sababu ilikosa ushahidi wa walichofanya nyuma cha maendeleo ya Watu
CCM slogan ya hapa kazi tu ilibeba ushahidi wa vitu vilivyofanyiiwa kazi Barabara,reli,mashule,vituo vya afya, umeme nk pia slogan hiyo ni nyeyekevu kuwa tupeni kura tukafanye kazi sio tukafanye kazi na kula bata kama ile ya ACT wazalendo ya kazi na bata!!!
Hii Slogan ya Hapa kazi tu ni vizuri iwekwe hadi kwenye nembo ya CCM iwe ya kudumu
Slogan mfano us ACT wazaledo ya Kazi na Bata ilikuwa hata haileweki inalenga nani Mkulima,mfanyabiashara,machinga ,wavuvi,, wafugaji, au wafanyakazi? Ukiingalia ililenga wafanyakazi wa serikali tu ambao idadi yao ni laki nne tu sio jamii nzima ya watanzania
Ukija slogan ya Chadema ya maendeleo ya watu sip vitu imekaa kivituko na haieleweki kirahisi unatakiwa kuwa na Phd kuielewa sababu watu wanahitaji vitu mfano barabara, hospitali, shule nk wewe unasema sio yanatakiwa maedeleo ya watu. Watu wanajiuliza hayo maendeleo ya watu Yakoje? Toeni mifano mna wabunge wenu Chadema wamekaa miaka kumi hadi kumi na tano bungeni ni maendeleo yepi ya watu waliyoleta majimboni mwao tuone mfano kuwa yanafananaje? Unakuta hakuna wabunge wa Chadema hawakupeleka maendeleo ya vitu wala ya watu miaka yote waliyokaa bungeni. Hivyo hiyo Slogan ilichangia pia wananchi kuwanyima kura chadema sababu ilikosa ushahidi wa walichofanya nyuma cha maendeleo ya Watu
CCM slogan ya hapa kazi tu ilibeba ushahidi wa vitu vilivyofanyiiwa kazi Barabara,reli,mashule,vituo vya afya, umeme nk pia slogan hiyo ni nyeyekevu kuwa tupeni kura tukafanye kazi sio tukafanye kazi na kula bata kama ile ya ACT wazalendo ya kazi na bata!!!
Hii Slogan ya Hapa kazi tu ni vizuri iwekwe hadi kwenye nembo ya CCM iwe ya kudumu