Smart911 and mahondaw live on muosha rungu TV show!!?

Mahondaw nimeipenda hii
Matef ake namie==Mate fake na mie

Only for Genius

Kwa hiyo wewe genius ehhh

haki ya nani naona unajiona umekuwa Archmedes' principal endelea kugundua tu le genius mondi huwezi jua ukashinda tuzo ya Nobel au ya Oscar
 
Interview zenye akili anazifanyaga Stunter tuu..

Na wewe si genious unapenda udaku kama mimi alafu unajibaraguza hapa hahhahahah aisehhhh ma-geniuos hawapendi umbea wanagundua wewe umegundua Matef ake[\color] basi unajifananisha na ma-genious psiiii nakukojoelea kabisa
 
Ulijaribu ile kuchemsha giligilan na kunywa ??nipe mrejesho
 
Punguza jazba mbaba..
Kwa hiyo wewe genius ehhh

haki ya nani naona unajiona umekuwa Archmedes' principal endelea kugundua tu le genius mondi huwezi jua ukashinda tuzo ya Nobel au ya Oscar
 
Sidhani kama utakua Mwanaume.
Na wewe si genious unapenda udaku kama mimi alafu unajibaraguza hapa hahhahahah aisehhhh ma-geniuos hawapendi umbea wanagundua wewe umegundua Matef ake[\color] basi unajifananisha na ma-genious psiiii nakukojoelea kabisa
 
Ila nimecheka,,bora wamekataa maana maswali ya huyu muosha rungu ni kiboko unaweza mnasa kibao
 
We ni kichaa kama mimi
 
Mweee mweeee mwagaa
 
Hahahahahaha ila we kaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli kabisa.. Za masiku lakini?? .. Longi time kidogo mara ya mwisho niliona tu kumeandikwa banned kwenye avatar yako!


Mahondaw wa Smart911
Shogaa nilitandikwa ban ndefu balaaa,,kujipeleka huko siasan kuliniponza,,,sikanyagiko tena,,
Nzurii nilikuwa nawasoma tu ,,naona mpaka wamechoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,,kaza buti utamu wajua mwenyewe wengine hayatuhusy
 
Shogaa nilitandikwa ban ndefu balaaa,,kujipeleka huko siasan kuliniponza,,,sikanyagiko tena,,
Nzurii nilikuwa nawasoma tu ,,naona mpaka wamechoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,,kaza buti utamu wajua mwenyewe wengine hayatuhusy
Pole sana rafiki siasani ni ngumi mkononi kuleeeee huku ndo kutamu asee hapa kati palinogajee.. Warmly welcome na asante sana rafiki



Mahondaw wa Smart911
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…