Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

Sorry chief-mkwawa hivi kuna uwezekano wa ku unlock Huawei Ascend Y530?
Je unaweza nisaidia namna ya ku unlock. Much respect chief-mkwawa

Inafaa mimi mwenyewe nilinunuwa huawei 530 yatigo kuna jamaa mmoja huku jf akanisaidi sasa hivi natumia lani ya mtandao wowote naina piga kazi mtafute jamaa mmoja anaitwa Mwl.Rc
 
Last edited by a moderator:
Inafaa mimi mwenyewe nilinunuwa huawei 530 yatigo kuna jamaa mmoja huku jf akanisaidi sasa hivi natumia lani ya mtandao wowote naina piga kazi mtafute jamaa mmoja anaitwa Mwl.Rc

Pouwa kiongozi..... much respect.....
 
ku unlock hakuharibu simu ila kama mtu hajui anachofanya anaweza kukuharibia simu. pia inategemea na aina ya simu kuna ambazo ni rahisi ku unlock, kuna ambazo ni ngumu na nyengine haziwezekani. hivyo kama ni rahisi hata wa uswazi wanaweza

nata nichukue hiyo ya tigo, then ni unlock. maana natamani kuwa wa kisasa lkn uchumi wa jk unabana.

kwa uzoefu wako hizo huwei za tigo, vipi ntafanikisha kuziunlock? na kwa mwanza niingie mtaa gani?
 
Inafaa mimi mwenyewe nilinunuwa huawei 530 yatigo kuna jamaa mmoja huku jf akanisaidi sasa hivi natumia lani ya mtandao wowote naina piga kazi mtafute jamaa mmoja anaitwa Mwl.Rc

sasa huyu mwl. rc tutampataje? fanya hivi, nenda kwenye akaunti yake, uikopi vema akaunt yake uje upaste hapa, ambapo itakuwa mentioned, ili tumfuate pm. fanya hivyo ngereza
 
sasa huyu mwl. rc tutampataje? fanya hivi, nenda kwenye akaunti yake, uikopi vema akaunt yake uje upaste hapa, ambapo itakuwa mentioned, ili tumfuate pm. fanya hivyo ngereza

Just mention his user name
 
niliwahi kuandika thread kama hii kuhusu simu za bei rahisi za android mwaka 2012 lakini sasa hv imepitwa na wakati na siku zimesogea mbele watu wameomba ile thread tuiupdate ili waweze kufanya maamuzi tena. nimeona nichague simu best za windows phone na android ambazo ni za bei rahisi (chini ya laki 3) ambazo unaweza kutumia ukapata perfomance kubwa kiasi usahau kama ni simu ya bei rahisi nimetumia vigezo vifuatavyo

1. power ya simu -interms ya processor, ram na gpu
2. support- kama itakua updated kwenda version nyengine
3. camera
4. storage
5. battery
6. display
7. weakness zake
mambo kama speed ya internet yamepitwa na wakati simu zote sku hzi zina hspa hivyo speed ipo kama simu ipo slow ni wewe eneo ulipo na mtandao wako ndio munahusika.

hizi hapa ndio simu za bei rahisi nilizokusanya.

nokia lumia 520
kama hujali kutotumia android huwezi pata simu bora zaidi ya lumia 520 kwa bei rahisi, imeuza unit zaidi ya milioni 25 naweza kusema ndio simu maarufu ya bei rahisi zaidi duniani.
nokia-lumia-520.jpg


why ununue hii simu?
1.power- ina processor kubwa kabisa ya s4 snapdragon 1ghz dualcore krait cortex a15, ram 512mb (ipo version ya 1gb inaitwa lumia 525) na gpu yake ni adreno 305
2.suport- simu hii ina windows phone 8 na mwez wa 6 itapata update ya windows phone 8.1
3.camera- ina 5megapixel bila front camera wala flash
4.storage- ina internal 8gb na inakubali memory card
5.battery- 1430mah
6.display- kioo ni 4inch wvga 480x800

weakness zake
1.haina flash ya camera wala camera ya mbele
2. ina apps chache kuliko android

motorola moto e
imezinduliwa muda sio mrefu na ni moja kati ya simu nzuri za bei rahisi inayokupa ram ya 1gb, hebu tuone inapambana vipi na wenzake
motorola-moto-e.jpg


why ununue hii simu
1.power- processor ya 1.2ghz cortex a7 dualcore snapdragon 200 ikiwa na ram 1gb na gpu ya adreno 302
2. support- simu hii inakuja na android kitkat 4.4.2 na motorola wamesema itapata update zijazo
3.camera- ina camera 5mp bila flash wala camera ya mbele
4.storage- simu hii inakuja na internal storage ya 4gb na inaingia memory card
5.battery- 1980mah
6. diplay- ina kioo cha 4.3 inch qhd resolution ya 540x960 kioo chake pia kina gorila glass 3

weakness
1. haina flash wala camera ya mbele
2.processor za cortex a7 zimepitwa na wakati

sony xperia e1
sony nao hawakua nyuma kutoa simu nzuri ya bei ya chini tuangalie nayo ipoje
sony-xperia-e1.jpg


ina sifa hizi
power- ipo kama moto e ikiwa na dualcore 1.2ghz cortex a7 na adreno 302 sema hii ina ram 512mb
support- simu hii inakuja na android 4.3 na itapata update ya kitkat
camera-ina 3mp bila camera ya mbele
storage- ina internal 4gb na memorycard inaingia
battery-1700mah
diplay- kioo cha inch4 wvga 480x800

weakness
-camera 3mp bila camera ya mbele inapitwa na wapinzani wote
-processor cortex a7 ni ya kizaman

blackberry z3
usije kuchanganya na bb z30 hii ni smartphone ya bei rahisi ya blackberry imeanza kuuzwa indonesia specs zake hazina mfano
blackberry-z3-new.jpg

power- inakuja na snapdragon 400 1.2ghz dualcore ram 1.5gb na adreno 305
support-inakuja na bb os 10.2.1 hii ni os yao mpya
camera- camera ya nyuma ni 5mp na ya mbele ni 1.1mp ina uwezo wa kurekodi full hd camera yake.
storage-ina internal 8gb na inaingia memory card
battery- 2500mah
display- inakuja na kioo 5inch chenye qhd 540x960

weakness yake ni kwamba bbos haina native apps nyingi compare na wp, android na ios japo ina uwezo wa kufungua android apps

huawei y530
huawei nae hakuwa nyuma kutoa simu za bei rahisi simu hii kama ilivyo moto e inakuja na specs za kisasa
huawei-y530.jpg


perfomance- simu hii inatumia snapdragon 200 dualcore cortex a7 sawa na moto e na kwenye gpu ina adreno 302 pamoja na ram 512mb
support- simu hii inakuja na android 4.3 na haijulikan kama itapata future updates ila ina ui kama ya kizee hivi
-camera ina 5mp nyuma na flash pamoja na camera ya mbele ya vga
-storage ina 4gb internal pamoja na memory card
-baterry ni 1700mah
-display yake ni 480x854 kioo cha ukubwa wa 4.5inch

weakness
1. chip yake ni ya kizaman cortex a7
2. ina ram ndogo 512mb

hizo hapo juu ndio simu nne ambazo nimeona ndio best kwa simu za bei ya chini. kama unataka dualsim kwenye windows phone kuna lumia 635 sijaieka sababu inafanana vitu vingi na hio 520 na bei yake pia ni kubwa kidogo. kuna baadhi ya simu nyengine nzuri nitazimention sijazieka sababu nimeona hazifai kuwa hapo juu.

1.nokia x, x+ na xl sijazieka sababu ya processor ndogo kama huna matumizi makubwa unaweza kuzinunua
2. motorola moto g sijaieka sababu zinauzwa bei kubwa kidogo
3. samsung duos na trend series sijazieka sababu touchwiz ni nzito kwa simu za bei ya chini
4. sijaeka simu yoyote ya mediatek sababu zinacorupt imei, huwezi kuzi update na ni inferior kwa simu za qualcom (simu za mediatek ni kama tecno, galaxy clone, itel na wengineo)
5. huawei y300 pia sjaieka sababu ina processor kama ya nokia x series hivyo kama huna matumizi makubwa haina neno.

kama kuna simu unayoona inafaa iwepo na sijaiweka unaweza kuitaja

mkuu, hv Karibuni nimenunua Lumia 620 tatizo nikidownload video YouTube sizioni kwenye simu mpaka nifungue downloaded files kwenye uc web browser ndo zina play lakini nikiingia kwenye music & video hazipatikani,zinazopatikana ni audio tu. NB: natumia internal storage sijaweka memory card. PIA sija update kwenda wp8.1
 
mkuu, hv Karibuni nimenunua Lumia 620 tatizo nikidownload video YouTube sizioni kwenye simu mpaka nifungue downloaded files kwenye uc web browser ndo zina play lakini nikiingia kwenye music & video hazipatikani,zinazopatikana ni audio tu. NB: natumia internal storage sijaweka memory card. PIA sija update kwenda wp8.1

kaka windows phone 8 imekua designed na vitu vinaitwa hub, hizi hub kila application ina hub yake na application hairuhusiwi kuingilia hub ya mwenzake. ina maana ukidownload kitu kinakaa kwenye hub hio hio. ni kwa ajili ya usalama walifanya hivi.

ila kwenye windows phone 8.1 wamezitoa hubs sasa hivi imekua free na mpaka file manager wameeka unazurura unavyotaka. hivyo update kwenda wp8.1 kwanza.
 
kaka windows phone 8 imekua designed na vitu vinaitwa hub, hizi hub kila application ina hub yake na application hairuhusiwi kuingilia hub ya mwenzake. ina maana ukidownload kitu kinakaa kwenye hub hio hio. ni kwa ajili ya usalama walifanya hivi.

ila kwenye windows phone 8.1 wamezitoa hubs sasa hivi imekua free na mpaka file manager wameeka unazurura unavyotaka. hivyo update kwenda wp8.1 kwanza.

Asante Mungu akubariki
 
Nimeenda tigo kwakweli mammbo yao mazuri. Nimejinunulia ka cm Y530..... Na offer yake ya miezi saba kwakweli Voda walie tu. Sasa hivi sihangaiki na kuchagua mtu wa kumpigia. Nimepewa dakika Mia sita za kutumia nikitopup tu mwezi unaofuata free tena........... Voda nawaweka kushoto kwa muda wa miezi saba...lazima wakae mae zao......
 
Nimeenda tigo kwakweli mammbo yao mazuri. Nimejinunulia ka cm Y530..... Na offer yake ya miezi saba kwakweli Voda walie tu. Sasa hivi sihangaiki na kuchagua mtu wa kumpigia. Nimepewa dakika Mia sita za kutumia nikitopup tu mwezi unaofuata free tena........... Voda nawaweka kushoto kwa muda wa miezi saba...lazima wakae mae zao......

y530 umenunua sh. Ngapi?
 
kaka windows phone 8 imekua designed na vitu vinaitwa hub, hizi hub kila application ina hub yake na application hairuhusiwi kuingilia hub ya mwenzake. ina maana ukidownload ,kitu kinakaa kwenye hub hio hio. ni kwa ajili ya usalama walifanya hivi.

ila kwenye windows phone 8.1 wamezitoa hubs sasa hivi imekua free na mpaka file manager wameeka unazurura unavyotaka. hivyo update kwenda wp8.1 kwanza.

mkuu nimejaribu Ku-update inaniambia nitumie wi-fi licha ya kusoma H+(zaidi ya 3g),Maana nimejiunga na Bando la unlimited
 
Back
Top Bottom