idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
hebu onana na mathematics yeye anauza simu nzuri sana za aina ya android utapata
Wewe umejuaje kama ni nzuri sana? au wewe ndio mathematics?
nimenunua pale hivyo ni nzuri kwani naitumia hiyo simu
Cmu gani?
aina ya panten
Nazisikia tu hizo...specification zake?..inatumia android ngap na ram ngap
Duh!
Mmenivunja mbavu, alieuziwa cheni bandia nae katoa fedha bandia.
Hapa ni ngoma droo.!
Last edited by a moderator: