Smartphone za Oppo na Vivo zipo underrated sana. Wana vyuma vina camera iPhone yoyote haiweki mguu!

Smartphone za Oppo na Vivo zipo underrated sana. Wana vyuma vina camera iPhone yoyote haiweki mguu!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Tuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake.

Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo.

Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana.

Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo Find X7 Ultra!

Izo zote za mwaka 2024 mwanzoni ila hauwezi fananisha na S24 wala 16 Pro kutoka kwa wababe.
 
Tuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake.

Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo.

Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana.

Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo Find X7 Ultra!

Izo zote za mwaka 2024 mwanzoni ila hauwezi fananisha na S24 wala 16 Pro kutoka kwa wababe.
Nakuunga mkono natumia Oppo ina quality nzuri Sana camera
 
Tuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake.

Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo.

Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana.

Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo Find X7 Ultra!

Izo zote za mwaka 2024 mwanzoni ila hauwezi fananisha na S24 wala 16 Pro kutoka kwa wababe.
Hatutaki kuskia Camera nzuri ,ila vifaa vingine kwenye simu vinasumbua mkuu
 
Tuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake.

Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo.

Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana.

Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo Find X7 Ultra!

Izo zote za mwaka 2024 mwanzoni ila hauwezi fananisha na S24 wala 16 Pro kutoka kwa wababe.
Kuna Oppo toleo jipya Reno 13 pro 5G Ni hatarii nataka niichue io
 
Hatutaki kuskia Camera nzuri ,ila vifaa vingine kwenye simu vinasumbua mkuu
Upo sahihi mkuu na wasiwasi ni akili. Ila unajua makampuni mengi wanatengeneza low end za bei ndogo (chini ya laki 2) na wana mid za laki 5 na hadi flagship za mil 1.5 kwenda juu.

Apple alichoweza apo yy hana cheap phone. Ata SE unakuta ni Mil kwenda juu.

Sasa Vivo na Oppo ukichukua za 200k kushuka hauna wa kumlaumu ila Flagship zake shikamoo kuanzia aspect zote kuanzia screen, processor, battery, nk
 
Wachina wameboresha Camera wakiamini wateja wao hicho ndio kigezo kikuu wanachoangalia wanapohitaji simu..ila Samsung naona simu zao hata mtu akitumia matatizo ya masikio ni ngumu kupata kutokana na sauti yake hata macho kwa zile android zao ila zipo simu hapo China au Hong Kong hata huku hazijafika zina ubora sana kama hizo simu zilizo kwenye soko..
 
Tuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake.

Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo.

Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana.

Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo Find X7 Ultra!

Izo zote za mwaka 2024 mwanzoni ila hauwezi fananisha na S24 wala 16 Pro kutoka kwa wababe.
Mashine Hiyo nimechek benchmark kule ni balaa
 
Tuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake.

Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo.

Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana.

Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo Find X7 Ultra!

Izo zote za mwaka 2024 mwanzoni ila hauwezi fananisha na S24 wala 16 Pro kutoka kwa wababe.
vivo X200 Pro na Oppo Find X8 Pro ni komesha.
Kwenye chipset, battery life hadi camera sio Samsung wala iPhone anagusa hapo.
Simu zao ni very high quality upande wa flagship.
Video ya smartphone awards ya Mr Whosetheboss ameipa Vivo X200 Pro kuwa best battery phone, best camera phone na best phone overall. Vivo na Oppo zina software nzuri pia


View: https://youtu.be/6jVUSsByq9Y?si=_lCynhG-h-JTDj0Z
 
vivo X200 Pro na Oppo Find X8 Pro ni komesha.
Kwenye chipset, battery life hadi camera sio Samsung wala iPhone anagusa hapo.
Simu zao ni very high quality upande wa flagship.
Video ya smartphone awards ya Mr Whosetheboss ameipa Vivo X200 Pro kuwa best battery phone, best camera phone na best phone overall. Vivo na Oppo zina software nzuri pia


View: https://youtu.be/6jVUSsByq9Y?si=_lCynhG-h-JTDj0Z

Tunanunua simu kwa brand na status. Mtu akiona unatumia Huawei, Vivo nk anaona we hamnazo w
 
vivo X200 Pro na Oppo Find X8 Pro ni komesha.
Kwenye chipset, battery life hadi camera sio Samsung wala iPhone anagusa hapo.
Simu zao ni very high quality upande wa flagship.
Video ya smartphone awards ya Mr Whosetheboss ameipa Vivo X200 Pro kuwa best battery phone, best camera phone na best phone overall. Vivo na Oppo zina software nzuri pia


View: https://youtu.be/6jVUSsByq9Y?si=_lCynhG-h-JTDj0Z

muundo wa kamera zake sasa 🤣
 
Vipi kwenye ku zoom hiyo vivo?
Uwezo wake wa ku-zoom upo vizuri, kwasababu ya 200 MP Telephoto camera yenye aperture kubwa ya f/2.6 au kwa lugha nyepesi nikiifananisha na Galaxy Ultra 24 ambayo ni King wa zoom, Samsung ana
50 MP periscope camera, aperture ya f/2.4 ila izo ni namba on paper.

Ngoja nikupe picha tatu hapa zinazoomesha uwezo wa kuzoom.

Picha ya kwanza:

img_1072-jpeg.3184822


Zoom out

IMG_1073.jpeg


Mpigaji alikua hapa:

IMG_1074.jpeg


Quality inaweza kua distorted kutokana sharing.
 

Attachments

  • IMG_1072.jpeg
    IMG_1072.jpeg
    2.1 MB · Views: 18
Back
Top Bottom