Smartphone za Oppo na Vivo zipo underrated sana. Wana vyuma vina camera iPhone yoyote haiweki mguu!

Smartphone za Oppo na Vivo zipo underrated sana. Wana vyuma vina camera iPhone yoyote haiweki mguu!

hiyo Vivo X100 Ultra nikihitaji kuagiza hadi inifikie mkononi itanigharimu shilingi ngapi.?
 
hiyo Vivo X100 Ultra nikihitaji kuagiza hadi inifikie mkononi itanigharimu shilingi ngapi.?
Labda cheap kabisa 1.8 hivi wakitoa x200 Ultra labda za nyuma zitapoa maana X200 Pro ishatoka.
 
Price ya 22 na 23 zinaweza kucheza kwenye sh ngapi.
1. Boxed
2. Unboxed(second hand n.k)
Nimeona 22 Ultra nyingi used ni 750 hadi 900 hivi.

23 Ultra bado on fire.

Sema nn, Tar 28 Jan wanazindua 25 Ultra zitashuka sana maana Samsung nnachompendea wakitoa model mpya xa nyuma zinashuka sanaaa
 
Unachosema ni sahihi. Mimi ni team HUAWEI.
August hii nimevuta huawei p30 pro ambayo ni flagship ya 2019 sina habari kwa miaka 5 ijayo
Aisee P30 Pro niliona kwa mtu nikasaema Huawei alikua ahead of time.
 
Tuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake.

Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo.

Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana.

Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo Find X7 Ultra!

Izo zote za mwaka 2024 mwanzoni ila hauwezi fananisha na S24 wala 16 Pro kutoka kwa wababe.
Oppo and vivo zina grades, watu wanachukua low na medium ndio wanapata hiyo experience, but zile flagship zao zinafanya vizuri sana japo expensive

Wabongo wanapenda bei rahisi ndio maana wengi wanapata experience mbovu
 
Back
Top Bottom