Smartphone za Oppo na Vivo zipo underrated sana. Wana vyuma vina camera iPhone yoyote haiweki mguu!

Smartphone za Oppo na Vivo zipo underrated sana. Wana vyuma vina camera iPhone yoyote haiweki mguu!

Uwezo wake wa ku-zoom upo vizuri, kwasababu ya 200 MP Telephoto camera yenye aperture kubwa ya f/2.6 au kwa lugha nyepesi nikiifananisha na Galaxy Ultra 24 ambayo ni King wa zoom, Samsung ana
50 MP periscope camera, aperture ya f/2.4 ila izo ni namba on paper.

Ngoja nikupe picha tatu hapa zinazoomesha uwezo wa kuzoom.

Picha ya kwanza:

img_1072-jpeg.3184822


Zoom out

View attachment 3184823

Mpigaji alikua hapa:

View attachment 3184824

Quality inaweza kua distorted kutokana sharing.
Quality ni bora
 
Sisi tunaonunua gadgets kwa kuangalia specifications na sio brand tuna raha sana🙂

Mimi napendanga kununua zile simu wanaita "Flagship Killer".

Mfano hapa natumia "Xiaomi 11T Pro" mwaka wa 3 huu, kila kitu kiko on point (camera, battery life, software, hardware).

Hapa nataka nitafute flagship moja matata ya Mchina, nitulie zangu kwa miaka 5 ijayo.

Wale wazee wa kununua brands ,nawapa pole sana, unakuta mtu ananunua Samsung la Laki 9, ambayo ni midrange, wakati kwa hiyo pesa angeweza kupata flagship kali tu.
 
Sisi tunaonunua gadgets kwa kuangalia specifications na sio brand tuna raha sana🙂

Mimi napendanga kununua zile simu wanaita "Flagship Killer".

Mfano hapa natumia "Xiaomi 11T Pro" mwaka wa 3 huu, kila kitu kiko on point (camera, battery life, software, hardware).

Hapa nataka nitafute flagship moja matata ya Mchina, nitulie zangu kwa miaka 5 ijayo.

Wale wazee wa kununua brands ,nawapa pole sana, unakuta mtu ananunua Samsung la Laki 9, ambayo ni midrange, wakati kwa hiyo pesa angeweza kupata flagship kali tu.
Hapo umesema. Bora flagship killers kuliko Mids.

Kuna debates pia, una laki 9 bora ununue A54 mpya au ukatafute S21 Ultra used.

Watu wanatokaga mapovu hapa.

Kusema kweli mimi Mid hapana. Bora Nitafute flagship ata ya miaka 2 nyuma.

Mfano mwezi ujao Galaxy S25 inatoka, ndio muda wa kutafuta S22 na S23s kwa wadau wa Samsung.
 
Back
Top Bottom