Nakuunga mkono natumia Oppo ina quality nzuri Sana cameraTuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake.
Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo.
Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana.
Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo Find X7 Ultra!
Izo zote za mwaka 2024 mwanzoni ila hauwezi fananisha na S24 wala 16 Pro kutoka kwa wababe.
Hatutaki kuskia Camera nzuri ,ila vifaa vingine kwenye simu vinasumbua mkuuTuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake.
Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo.
Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana.
Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo Find X7 Ultra!
Izo zote za mwaka 2024 mwanzoni ila hauwezi fananisha na S24 wala 16 Pro kutoka kwa wababe.
Inaitwaje hio oppo mkuuNakuunga mkono natumia Oppo ina quality nzuri Sana camera
Kuna Oppo toleo jipya Reno 13 pro 5G Ni hatarii nataka niichue ioTuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake.
Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo.
Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana.
Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo Find X7 Ultra!
Izo zote za mwaka 2024 mwanzoni ila hauwezi fananisha na S24 wala 16 Pro kutoka kwa wababe.
Upo sahihi mkuu na wasiwasi ni akili. Ila unajua makampuni mengi wanatengeneza low end za bei ndogo (chini ya laki 2) na wana mid za laki 5 na hadi flagship za mil 1.5 kwenda juu.Hatutaki kuskia Camera nzuri ,ila vifaa vingine kwenye simu vinasumbua mkuu
Mashine Hiyo nimechek benchmark kule ni balaaTuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake.
Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo.
Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana.
Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo Find X7 Ultra!
Izo zote za mwaka 2024 mwanzoni ila hauwezi fananisha na S24 wala 16 Pro kutoka kwa wababe.
vivo X200 Pro na Oppo Find X8 Pro ni komesha.Tuache Xiaomi na Huawei, hao habari nyingine kabisa. Yaani sio Samsung wala Apple apo atasogeza flagship yake.
Tuongelee hawa wawili, Oppo na Vivo.
Ukiwachukulia poa utasema ni garbage nyingine kutoka kwa Mchina, ila aisee hawa jamaa wana flagship kali sana.
Mfano: Vivo X100 Ultra, na Oppo Find X7 Ultra!
Izo zote za mwaka 2024 mwanzoni ila hauwezi fananisha na S24 wala 16 Pro kutoka kwa wababe.
Tunanunua simu kwa brand na status. Mtu akiona unatumia Huawei, Vivo nk anaona we hamnazo wvivo X200 Pro na Oppo Find X8 Pro ni komesha.
Kwenye chipset, battery life hadi camera sio Samsung wala iPhone anagusa hapo.
Simu zao ni very high quality upande wa flagship.
Video ya smartphone awards ya Mr Whosetheboss ameipa Vivo X200 Pro kuwa best battery phone, best camera phone na best phone overall. Vivo na Oppo zina software nzuri pia
View: https://youtu.be/6jVUSsByq9Y?si=_lCynhG-h-JTDj0Z
muundo wa kamera zake sasa 🤣vivo X200 Pro na Oppo Find X8 Pro ni komesha.
Kwenye chipset, battery life hadi camera sio Samsung wala iPhone anagusa hapo.
Simu zao ni very high quality upande wa flagship.
Video ya smartphone awards ya Mr Whosetheboss ameipa Vivo X200 Pro kuwa best battery phone, best camera phone na best phone overall. Vivo na Oppo zina software nzuri pia
View: https://youtu.be/6jVUSsByq9Y?si=_lCynhG-h-JTDj0Z
👏Unaweza kuona bajaj ni kali kuli ist. Sababu tu unamiliki bajaj.
Uwezo wake wa ku-zoom upo vizuri, kwasababu ya 200 MP Telephoto camera yenye aperture kubwa ya f/2.6 au kwa lugha nyepesi nikiifananisha na Galaxy Ultra 24 ambayo ni King wa zoom, Samsung anaVipi kwenye ku zoom hiyo vivo?