Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Quality ni boraUwezo wake wa ku-zoom upo vizuri, kwasababu ya 200 MP Telephoto camera yenye aperture kubwa ya f/2.6 au kwa lugha nyepesi nikiifananisha na Galaxy Ultra 24 ambayo ni King wa zoom, Samsung ana
50 MP periscope camera, aperture ya f/2.4 ila izo ni namba on paper.
Ngoja nikupe picha tatu hapa zinazoomesha uwezo wa kuzoom.
Picha ya kwanza:
Zoom out
View attachment 3184823
Mpigaji alikua hapa:
View attachment 3184824
Quality inaweza kua distorted kutokana sharing.
Mkuu huawei mtoe hapo usmfananishe na TAKATAKATunanunua simu kwa brand na status. Mtu akiona unatumia Huawei, Vivo nk anaona we hamnazo w
Kweli ase na mimi nanunua hii nilikuwa natafuta simu ya bei isiyozidi Euros 150.Tatizo bei. Mfano Oppo Find X7 Ultra unakuta Mil 1.8 hivi.
Huo nchi za wenzetu ni muundo mzuri. Nimeona watu wakitaja strengths za hiyo simu, wanasema beautiful designmuundo wa kamera zake sasa 🤣
Hata Oppo Find X8 ProKuna Oppo toleo jipya Reno 13 pro 5G Ni hatarii nataka niichue io
kama perfomance yake ipo vizur 👍 /muundo wa kamera👎Huo nchi za wenzetu ni muundo mzuri. Nimeona watu wakitaja strengths za hiyo simu, wanasema beautiful design
Kwangu imekaa poa. Wanajaribu ku imitate mwonekano wa digital cameras
Kumbe Huawei ni takataka enheeTunanunua simu kwa brand na status. Mtu akiona unatumia Huawei, Vivo nk anaona we hamnazo w
Kuna mwamba anamiliki i.s.t juzi kati kaziita forester sh na crown ni makopo!Unaweza kuona bajaj ni kali kuli ist. Sababu tu unamiliki bajaj.
HaahhahahaahKuna mwamba anamiliki i.s.t juzi kati kaziita forester sh na crown ni makopo!
Reno 8 pro 5GInaitwaje hio oppo mkuu
Hapo umesema. Bora flagship killers kuliko Mids.Sisi tunaonunua gadgets kwa kuangalia specifications na sio brand tuna raha sana🙂
Mimi napendanga kununua zile simu wanaita "Flagship Killer".
Mfano hapa natumia "Xiaomi 11T Pro" mwaka wa 3 huu, kila kitu kiko on point (camera, battery life, software, hardware).
Hapa nataka nitafute flagship moja matata ya Mchina, nitulie zangu kwa miaka 5 ijayo.
Wale wazee wa kununua brands ,nawapa pole sana, unakuta mtu ananunua Samsung la Laki 9, ambayo ni midrange, wakati kwa hiyo pesa angeweza kupata flagship kali tu.