Feisal2020
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,113
- 2,656
Wala sio bia mkuuOngeza bia nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala sio bia mkuuOngeza bia nyingine
Sijui, labda ni pdidyAnataka nini unahisi?
BapaWala sio bia mkuu
Itakua huyo Mzee kuwaletea watu ghorofaniSijui, labda ni pdidy
NAHAMU UNIBOMOE MAENEO YA SIRI.Mimi sipendi mtu aniandikie sms kwa herufi kubwa tyu nachukia sana
Ty ni nini?Acha ty huwa sijibu
Dada yangu alikuwa na tabia hiyo nikamwambia nakuwa mzito kumjibu mtu akiamdika kwa herufi kubwa akaacha now anatumia herufi mdogo
wewe utachezea ban muda si mrefuMme wangu mshamba_hachekwi kakasirika balaa... muacheni ataua mtu!
Ukinipiga ban nakata rufaa kwa melo.wewe utachezea ban muda si mrefu
shauri yako
Ya kirungu wakati mwenyewe hali hoi bin taabaniKuna baadhi ya watu wanekerwa na SMS wanazoandikiwa na ndugu, jamaa, marafiki, wapenzi (mademu)nk.
Kuna rafiki yangu anakerwa na SMS zenye herufi 'X' inayokaa badala ya 'S' mfano mtu anaandika xamia xuluhu (samia suluhu), kuna jamaa mwingine anachukia SMS zenye tarakimu/namba mfano 2taonana (tutaonana).
Binafsi nilishamfukuza mke wangu wa ndoa baada ya kunifowadia SMS iliyoishia kwa kusema "tuma ujumbe huu kwa watu kumi (10), usipofanya hivyo hutaona uso wa bwana".
Wewe hupendi ujumbe wa namba gani? Sema.