secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
- Thread starter
- #61
Sicheki na kima kwenye mambo fulani fulani.Duh! Kisa kukufowadia ndugu yangu.
Noma sana
Nyambafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sicheki na kima kwenye mambo fulani fulani.Duh! Kisa kukufowadia ndugu yangu.
Noma sana
Hata mimi hiyo code nimeionaNi mimi pekee naona code kwenye hii thread au ngwai zishanichukua?
Code gani tena mkuu.Hata mimi hiyo code nimeiona
Hahaha 😆
Muulize mtoa mada mwenyewe akupe lengo halisi la uzi wakeCode gani tena mkuu.
hata mimi nakerwa sana na mtu anaetumia x , sipendi kuitumia ikionekan kimakosa bas ni typing error tu ila stipend kabisaKuna baadhi ya watu wanekerwa na SMS wanazoandikiwa na ndugu, jamaa, marafiki, wapenzi (mademu)nk.
Kuna rafiki yangu anakerwa na SMS zenye herufi 'X' inayokaa badala ya 'S' mfano mtu anaandika xamia xuluhu (samia suluhu), kuna jamaa mwingine anachukia SMS zenye tarakimu/namba mfano 2taonana (tutaonana).
Binafsi nilishamfukuza mke wangu wa ndoa baada ya kunifowadia SMS iliyoishia kwa kusema "tuma ujumbe huu kwa watu kumi (10), usipofanya hivyo hutaona uso wa bwana".
Wewe hupendi ujumbe wa namna gani? Sema.
Hiyo ilikua Tabia ya landlord wangu pindi anapo dai kodiMimi sipendi mtu aniandikie sms kwa herufi kubwa tyu nachukia sana
SIkujibuNAHAMU UNIBOMOE MAENEO YA SIRI.
Kwa mfano mtu aliandika "babaana limama maanapi kaugali" akimaanisha "Baba analima, mama annapika ugali" huwa namsamehe bure kwani hajui afanyalo/kosa alitendalo.MPESA badala M-PESA miyeyusho sana
Ahaha unamlipa kwa wakat sio au ulimkomeshaje?Hiyo ilikua Tabia ya landlord wangu pindi anapo dai kodi
. Ila nilimkomesha.
Huu upuuzi wa kuandika "tyu" badala ya "tu" sijui hivi vitoto vimeutoa wapi!! Halafu ukute ni wa kiume 🙆♂️🙆♂️🙆♂️😇"tuu"
kweli unachukia mrembo
Yaani🙆♂️🙆♂️🙆♂️Kuna wale wakutuma "mamb" kisha nambie au lete story na ni watu wazima kabisa
MjegejeAnataka nini unahisi?