Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Umewahi kuona wanatoa ufadhili wa kwenda kusoma Uarabuni? waarabu wenyewe wanasoma Uingereza wengiSo uarabuni hakuna shule!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi kuona wanatoa ufadhili wa kwenda kusoma Uarabuni? waarabu wenyewe wanasoma Uingereza wengiSo uarabuni hakuna shule!?
NILIPO SEMA HUMU KUWA HUU MUUNGANO NI WAKIANITHI NI KAMA NDOA HARAMU ZA JINSIA MOJA MKANIONA MJINGAAmesema mwaka jana watoto 66 waligunduliwa mitaani baada ya kuingia Zanzibar kwa njia zisizo halali kutoka Tanzania Bara.
Kama ni hivi huwa sielewi maana ya muungano kabisa🤔🤔
Zanzibar ni wilaya huko MombasaSijaelewa hata kidogo kama ni ubaguzi ndani ya nchi moja. Au Zanzibar ni Kenya?
Utaelewa tuAmesema mwaka jana watoto 66 waligunduliwa mitaani baada ya kuingia Zanzibar kwa njia zisizo halali kutoka Tanzania Bara.
Kama ni hivi huwa sielewi maana ya muungano kabisa🤔🤔
Nitaelewa mbele ya safari mkuu.Utaelewa tu
Njia zisizo halali.Serikali ya Zanzibar imesema kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar unaochangiwa na umaskini na unyanyasaji.
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Abeida Rashid ametoa kauli hiyo wakati wa mazungumzo ya kitaifa ya kushughulikia uhamiaji haramu na kuimarisha ulinzi wa wahamiaji wanaoishi katika mazingira hatarishi Tanzania.
Amesema mwaka jana watoto 66 waligunduliwa mitaani baada ya kuingia Zanzibar kwa njia zisizo halali kutoka Tanzania Bara.
“Kuanzia Januari hadi mwezi huu, tuliwakuta 19 ambao wamepelekwa kwenye nyumba salama ambako wanapata mafunzo muhimu ili kujikimu,” amesema.
Chanzo: The Citizen Tanzania
hakuna shida ni sehemu ya muungano, watoto wameona mbali, kuna asali nyingi imetoka huku imeenda kule, wacha waifate hukohuko shekhe, ushanifaham eehSerikali ya Zanzibar imesema kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar unaochangiwa na umaskini na unyanyasaji.
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Abeida Rashid ametoa kauli hiyo wakati wa mazungumzo ya kitaifa ya kushughulikia uhamiaji haramu na kuimarisha ulinzi wa wahamiaji wanaoishi katika mazingira hatarishi Tanzania.
Amesema mwaka jana watoto 66 waligunduliwa mitaani baada ya kuingia Zanzibar kwa njia zisizo halali kutoka Tanzania Bara.
“Kuanzia Januari hadi mwezi huu, tuliwakuta 19 ambao wamepelekwa kwenye nyumba salama ambako wanapata mafunzo muhimu ili kujikimu,” amesema.
Chanzo: The Citizen Tanzania
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Daah.Za asubuhi Ndugu mhamiaji! Hahahaha [emoji1787]
Huu ni wa kipumbavu kabisaHuu muungano wa kijinga kweli kweli.
Ufadhili wa masomo huonekana wapi ambako hakuna scholarship za arabuni!?.. nimekuuliza hakuna shule arabuni!?..nyinyi watanganyika mnaizidi nchi gani ya kiarabu kitaaluma/elimu?Umewahi kuona wanatoa ufadhili wa kwenda kusoma Uarabuni? waarabu wenyewe wanasoma Uingereza wengi
Zanzibar mnachuo kimoja tu kinaitwa SusyUfadhili wa masomo huonekana wapi ambako hakuna scholarship za arabuni!?.. nimekuuliza hakuna shule arabuni!?..nyinyi watanganyika mnaizidi nchi gani ya kiarabu kitaaluma/elimu?
Zanzibar siyo uarabuni,taja nchi ya kiarabu watanganyika mnaizidi elimuZanzibar mnachuo kimoja tu kinaitwa Susy
Karibu nchi zote, waarabu hawapendi sn mambo ya elimu wao ni dini na diliZanzibar siyo uarabuni,taja