SMZ: Kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kuja Zanzibar

Hao watoto jumla 85 anaona wengi sasa hawa Wapemba na Waunguja kwa maelfu waliopo Bara tusemeje?
 
Hawa maharamia ya zanzibar sjui wanatuonaje wabara.
Iko siku GEN Z tutaamua kuingia kitaa na kuomba muungano uvunjwe.
Ujue hata kenya hawatubagui namna hiyo maana ukienda sehemu zinazopakana na kenya interaction ni kama vile hakuna mkenya wala mtanzania.
Wakenya wapo TZ wanapiga musabe kama watanzania and vice versa.
Why hawa mahayawani ya kiarabu yatuone sisi ni haramu?
Leo nimechukia mno.
RUBBISH MUUNGANO
 
Amesema mwaka jana watoto 66 waligunduliwa mitaani baada ya kuingia Zanzibar kwa njia zisizo halali kutoka Tanzania Bara.

Kama ni hivi huwa sielewi maana ya muungano kabisa🤔🤔
Halafu wao wamejaa huku Bara a vibiashara vyao vya maduka ya maarabu/mpemba. Na tuna kaa kimya
 
Ndio mjue Zanzibar ni nchi yenye mamlaka yake, watanganyika baadhi endeleeni kudanganywa eti ni sehemu ya Tanzania visiwani.
 
Kwaio viongozi wa Zanzibar kukemea hadharani wahamiaji haramu imekua kosa? Basi na nyinyi waambieni viongozi wenu walalamile
Kwa hiyo wabara wakienda zmz ni haramu?
Iko siku tutawanyofoa makoromeo ndo mjue hatuwataki ila tunawasitiri kibinadamu.
Sasa mmefika pabaya.
UBAYA UBWELA
 
hili ndilo la muhimu wazazi/walezi kuwajibika ila ile lugha ni ngumu sana kutumika baina yetu na hapo ndiyo unaona g55 wakati waliona mbali pia the late mchungaji mtikila alikuwa sahihi kwenye masuala mengi yahusuyo siasa za tanganyika na zanzibar.
 
hili ndilo la muhimu wazazi/walezi kuwajibika ila ile lugha ni ngumu sana kutumika baina yetu na hapo ndiyo unaona g55 wakati waliona mbali pia the late mchungaji mtikila alikuwa sahihi kwenye masuala mengi yahusuyo siasa za tanganyika na zanzibar.
Jamaa kiasili ni Wabaguzi sana Kwa Wageni wa Bara ila Kwa ngozi nyeupe naona wanawapa ushirikiano Mkubwa mno hadi wa Kibailojia 🙌

Wazee wa G55 walikuwa na hoja useme Serikali haikutaka kuzifanyia kazi
 
Hapa kuna hoja.
1.Kwamba watoto wanasafiri wenyewe kwenda Zanzibar..?
2.Je bado kuna watu wanafanya biashara za kuuza watoto kwa kulazimisha na watoto hao wakifika na kuzoea mazingira wanatoroka...?
3.Sheria ya ajira mahala pa kazi inasemaje kuhusu ajira za watoto....?
4.Je kweli ni kwa sababu ya hali ngumu...ya wapi...?
5.Je hali hii Ina uhusiano wowote wa tishio la kupotea Kwa watoto kunakotangazwa mitandaoni..?
2.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…