Social Media Reactions as unknown people kidnaps ROMA-Mkatoliki

Social Media Reactions as unknown people kidnaps ROMA-Mkatoliki

Katika pita pita zangu nimeona Uzi wa le mutuz amesema hawajui Roma na mwenzie aliyetekwa

Najaribu kufikiria ni kwel hawajui au Mzee wetu naye anazeeka vibaya kwa kuendekeza unafiki

Kaandika HIV

lemutuz_nation - LIVE HARD TALK:- Ok nimepata sms nyingi sana na comments pia kuhusu hawa Vijana Wawili ambao to be honest FACT IS SIWAFAHAMU KABISA ...ila nimetumiwa picha zao nyingi so nikaamua kutumia hii moja ....HOWEVER ...ninaomba kusema hivi sijui all the FACTS on them ila I promise nitazitafuta na NITASEMA SOMETHING BUT ONLY BASED ON FACTS ...kwa sasa sina FACTS ...sijui anything about them na so far sijaona FACTS zikisemwa on them zaidi ya speculations na hisia ..huwa ninaongea on FACTS so far sina .....so for this naomba tu tuheshimiane guys na muwe na siku njema sana! - le Mutuz Nation
39339dc476f663eb79554c4ef13c7c91.jpg
 
Kama umegundua swala lolote baya likiwa linamhusu Mheshimiwa Mkoa le mutuz hua anajigeuza haelewi kitu.
Kwangu mimi kwa hiki alichoandika, inanikumbusha mengine ya nyuma.
 
Mpaka sasa nimeamini Bashite anahusika kwenye hili jambo.

Sijui baashite ndo nani. Ila ulimwengu una mengi sana. Hatujui maisha ya Roma anavyoyaendesha na hata nani anamdai au hamdai. Matendo yake naladhalika. Kutekwa ni jambo baya. Lakini tujue pia kama ni siasa. Ni Rahisi sana mtu kutumia mwanya huu kuwadaka wananchi majibu na maamuzi mbele kama nyie. So anacheka na ndo mnazidi kumfanya ajihamini au wajiamini. Kama maisha yangekuwa rahisi hivyo du Lisu asingekuwepo. Wala mbowe wala Seif nk. Hukumu mbele mtafanya Roma apotezwe mana kama ni majambazi basi mmeshawapa njia. Public sympathy ni mbaya sana kwenye jambo serious na linalohusu maisha ya watu. Tubakize maneno.
 
2020 watakavonengua na tshirt za kijani kama sio wenyewe vile
 
Tangu lile bifu la V money na shilole - imekua ngumu sana kuwaamini wasanii wa kizazi hiki, wanatanguliza kiki ndio ngoma inafuata.

Trust me kama mtu anaweza kusoma text za WhatsApp basi yupo salama, baxhite asingekubali bro Roma acharge simu, anunue bundle na aingie mitandao ya kijamii.

Kama mtu kasoma text za WhatsApp asingeshindwa kuandika post IG japo kusema "bashite ananiua". Tufanyeni muziki mzuri kiki tumwachie morapa
Yaani hapo ndio umefikiria kwa uwezo wako wote mpaka mwisho shezy taip...

Una uhakika gani kuwa anaesoma Meseji WhatsApp kuwa ni Roma na sio jamaa waliomteka?!
 
Sijui baashite ndo nani. Ila ulimwengu una mengi sana. Hatujui maisha ya Roma anavyoyaendesha na hata nani anamdai au hamdai. Matendo yake naladhalika. Kutekwa ni jambo baya. Lakini tujue pia kama ni siasa. Ni Rahisi sana mtu kutumia mwanya huu kuwadaka wananchi majibu na maamuzi mbele kama nyie. So anacheka na ndo mnazidi kumfanya ajihamini au wajiamini. Kama maisha yangekuwa rahisi hivyo du Lisu asingekuwepo. Wala mbowe wala Seif nk. Hukumu mbele mtafanya Roma apotezwe mana kama ni majambazi basi mmeshawapa njia. Public sympathy ni mbaya sana kwenye jambo serious na linalohusu maisha ya watu. Tubakize maneno.

Ndio Bashite anahusika na kasema mpaka jpili atakua kampata Roma na wenzake,hivi unadhani hatujui nyendo zake?
 
Back
Top Bottom