Social Media Reactions as unknown people kidnaps ROMA-Mkatoliki

Social Media Reactions as unknown people kidnaps ROMA-Mkatoliki

Labda alikuwa anarecord mziki wa kukashfu jitihada za serikali kuleta maendeleo na kuinyoosha nchi wakamuwahi ili asipandikize fikra potofu kwa raia wema!!!!
 
aisee usalama upo mashakani siku hizi...mitutu imezidi hii nchi
 
Sio jambo la busara kuwakamata watu halafu hamtoi taarifa kwa ndugu zao ili wajue walipo. Mtindo huu ukiendelea kama ni serikali inafanya hivyo, itakuwa inatoa mwanya kwa wahalifu kuteka watu wakijifanya kuwa wao ni askari kumbe majambazi!! Hata kama mmeamua kumuweka mtu detention basi angalau mpelekeni mahakamani au vipi kama hamtaki kumpeleka mahakamani basi muwaeleze ndugu zao kuwa mnawashikiria kwa makosa mtakayoyainisha!! Hivyo ndivyo inavyokuwa katika jamii iliyostaarabika!
 
Ccm mbele kwa mbele haaa wasaniii weng walijifny kuipigia debe ccm 2015 sasa hya ni matokeo yke na bdo
 
Sasa jaman kama sim inapatikana mbona swala ni rahisi sana si wa search sim yake iko wap ili apatikane alipo hata haihitaji complication
 
Mpenda kiki keshapata pa kusemea,ina maana ugomvi wake na makonda anataka na we
17818000_1228273180604956_6542799771084521472_n.jpg
ngine wamgomee wasifanye mambo yao kisa roma aisee.


Haya wolper nae katoa ya moyoni
17817832_434311313584967_5941942955999756288_n.jpg
 
Katika pita pita zangu nimeona Uzi wa le mutuz amesema hawajui Roma na mwenzie aliyetekwa

Najaribu kufikiria ni kwel hawajui au Mzee wetu naye anazeeka vibaya kwa kuendekeza unafiki

Kaandika HIV

lemutuz_nation - LIVE HARD TALK:- Ok nimepata sms nyingi sana na comments pia kuhusu hawa Vijana Wawili ambao to be honest FACT IS SIWAFAHAMU KABISA ...ila nimetumiwa picha zao nyingi so nikaamua kutumia hii moja ....HOWEVER ...ninaomba kusema hivi sijui all the FACTS on them ila I promise nitazitafuta na NITASEMA SOMETHING BUT ONLY BASED ON FACTS ...kwa sasa sina FACTS ...sijui anything about them na so far sijaona FACTS zikisemwa on them zaidi ya speculations na hisia ..huwa ninaongea on FACTS so far sina .....so for this naomba tu tuheshimiane guys na muwe na siku njema sana! - le Mutuz Nation
39339dc476f663eb79554c4ef13c7c91.jpg
Wanao lelewa WAPO ETI wapo, chezea kulelewa wewe lazima ujitoe fahamu ili uende sawa na mfugaji.
 
Back
Top Bottom