Social Media Reactions as unknown people kidnaps ROMA-Mkatoliki

Social Media Reactions as unknown people kidnaps ROMA-Mkatoliki

Katika pita pita zangu nimeona Uzi wa le mutuz amesema hawajui Roma na mwenzie aliyetekwa

Najaribu kufikiria ni kwel hawajui au Mzee wetu naye anazeeka vibaya kwa kuendekeza unafiki

Kaandika HIV

lemutuz_nation - LIVE HARD TALK:- Ok nimepata sms nyingi sana na comments pia kuhusu hawa Vijana Wawili ambao to be honest FACT IS SIWAFAHAMU KABISA ...ila nimetumiwa picha zao nyingi so nikaamua kutumia hii moja ....HOWEVER ...ninaomba kusema hivi sijui all the FACTS on them ila I promise nitazitafuta na NITASEMA SOMETHING BUT ONLY BASED ON FACTS ...kwa sasa sina FACTS ...sijui anything about them na so far sijaona FACTS zikisemwa on them zaidi ya speculations na hisia ..huwa ninaongea on FACTS so far sina .....so for this naomba tu tuheshimiane guys na muwe na siku njema sana! - le Mutuz Nation
39339dc476f663eb79554c4ef13c7c91.jpg
le big tumboz wakati le akili ndogoz umri above 50 lakini anajifanya mtoto. akifanya mchezo hata watoto wake aliowatelekeza US watakuja kumzidi akili. kuzaa mtoto wa nje halafu akawa hasara kama huyu aisei ni mzigo mzito. hajaridhi akili hata chembe toka kwa legendari wa taifa letu.
 
Hon Le mutuz amefanana na actor mmoja wa series ya HAWAII FIVE 0. Ukiwakuta wote kwa wakati mmoja unaweza ukahisi ni mapacha.
 
Kashaumbuliwa kuhusu comment za hapo nyuma twitter imemuumbua
Screenshot_2017-04-07-20-35-25.png
 
Achaneni na hilo boya, Roma anafahamika kuliko yeye, waulize madogo, wa mama vibabu na watu wa rika zote, kitaani wanatambua Roma ni nani. Yeye ni kwa vijike vya kwenye mtandao. AIBUUU
 
Lemutuz alimkana majay .leo anadai hamjui roma..what is behind with lemutuz.si bora angekua anakaa kimya
 
Bwege hilo, linamjua bashite tu, zee zima kudoea na kujipendekeza na halina msimamo! Litakuwa linabokolewa
 
Mpaka sasa nimeamini Bashite anahusika kwenye hili jambo.
Utatoa ushahidi ukikamatwa au ndo miharo tu eti mnaonewa
Acha akili za kishabiki kuna vitu vya kishabiki[emoji61] [emoji61]
Katika pita pita zangu nimeona Uzi wa le mutuz amesema hawajui Roma na mwenzie aliyetekwa

Najaribu kufikiria ni kwel hawajui au Mzee wetu naye anazeeka vibaya kwa kuendekeza unafiki

Kaandika HIV

lemutuz_nation - LIVE HARD TALK:- Ok nimepata sms nyingi sana na comments pia kuhusu hawa Vijana Wawili ambao to be honest FACT IS SIWAFAHAMU KABISA ...ila nimetumiwa picha zao nyingi so nikaamua kutumia hii moja ....HOWEVER ...ninaomba kusema hivi sijui all the FACTS on them ila I promise nitazitafuta na NITASEMA SOMETHING BUT ONLY BASED ON FACTS ...kwa sasa sina FACTS ...sijui anything about them na so far sijaona FACTS zikisemwa on them zaidi ya speculations na hisia ..huwa ninaongea on FACTS so far sina .....so for this naomba tu tuheshimiane guys na muwe na siku njema sana! - le Mutuz Nation
39339dc476f663eb79554c4ef13c7c91.jpg
 
Sijui baashite ndo nani. Ila ulimwengu una mengi sana. Hatujui maisha ya Roma anavyoyaendesha na hata nani anamdai au hamdai. Matendo yake naladhalika. Kutekwa ni jambo baya. Lakini tujue pia kama ni siasa. Ni Rahisi sana mtu kutumia mwanya huu kuwadaka wananchi majibu na maamuzi mbele kama nyie. So anacheka na ndo mnazidi kumfanya ajihamini au wajiamini. Kama maisha yangekuwa rahisi hivyo du Lisu asingekuwepo. Wala mbowe wala Seif nk. Hukumu mbele mtafanya Roma apotezwe mana kama ni majambazi basi mmeshawapa njia. Public sympathy ni mbaya sana kwenye jambo serious na linalohusu maisha ya watu. Tubakize maneno.
inaonekana una ufahamu mkubwa kuhusu hili na unahisi anatafuta sympathy ambayo sijui huyo Roma anaitafuta kwa malengo gani so long as si Politician au nmekuelewa vibaya
 
Back
Top Bottom