Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Nimezunguka kwenye depots zaidi ya tatu nimekosa kabisa soda kwa ajili ya biashara.
Wenye depots hata wao hawajui adimiko la soda linatokana na nini, licha ya kwamba viwanda viko mkoa huu huu.
Kwa siku za karibuni tumeona mahisimu wa mama wakitoa kelele mbalimbali ili tu mama aonekane ameshindwa kusongesha jahazi.
Mahasimu hao wasije fanya hiana na michezo michafu kama ilivyoeahi kutokea awamu ya tano wafanyabiashara walipoficha sukari
Wenye depots hata wao hawajui adimiko la soda linatokana na nini, licha ya kwamba viwanda viko mkoa huu huu.
Kwa siku za karibuni tumeona mahisimu wa mama wakitoa kelele mbalimbali ili tu mama aonekane ameshindwa kusongesha jahazi.
Mahasimu hao wasije fanya hiana na michezo michafu kama ilivyoeahi kutokea awamu ya tano wafanyabiashara walipoficha sukari