Soko kuu Arusha halina hadhi ya kuitwa soko kuu

Soko kuu Arusha halina hadhi ya kuitwa soko kuu

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Hili soko ni la muda mrefu tena tangu baada ya uhuru, na lipo katikati ya jiji mita chache tu toka ilipo stand kubwa ya mabasi, lakini haliendani kabisa na sura ya jiji.

Muundo wa soko ni wa kizamani kuanzia nje hadi ndani ambapo vizimba ni vidogo vidogo na wafanyabiashara wengine wamejijengea wanavyojuwa wenyewe ndani ya Soko hilo.

Jiji la Arusha limekuwa likikusanya mapato miaka yote lakini hakuna uboreshaji au upanuzi wa soko hilo kuwa la kisasa ili liweze endana na hadhi ya jiji.

Soko hili limekuwa kikitembelewa na watalii na hata kununua bidhaa humo sokoni.

Jiji kama Dar es Salaam masoko yake yanaendana sana na hadhi ya jiji hilo mfano wa soko kuu kisutu, soko la kariakoo, Machinga complex.

Masoko karibia yote Arusha yapo katika Muundo wa vibanda vibanda na sio muundo wa jengo la soko

Ni vizuri halmashauri ya jiji la Arusha kwa kutumia mapato yake ya ndani kufanya ujenzi wa soko kubwa na wenye hadhi unaoendana na jiji hili la kitalii na sio kusubiri kuambiwa toka juu .




mpangilio wa soko kuu kwa ndani

DSC_0940.JPG

DSC_0939.JPG

Soko kuu kwa nje
 
Hili soko ni la muda mrefu tena tangu baada ya uhuru, na lipo katikati ya jiji mita chache tu toka ilipo stand kubwa ya mabasi, lakini haliendani kabisa na sura ya jiji.

Muundo wa soko ni wa kizamani kuanzia nje hadi ndani ambapo vizimba ni vidogo vidogo na wafanyabiashara wengine wamejijengea wanavyojuwa wenyewe ndani ya Soko hilo.

Jiji la Arusha limekuwa likikusanya mapato miaka yote lakini hakuna uboreshaji au upanuzi wa soko hilo kuwa la kisasa ili liweze endana na hadhi ya jiji.

Soko hili limekuwa kikitembelewa na watalii na hata kununua bidhaa humo sokoni.

Jiji kama Dar es Salaam masoko yake yanaendana sana na hadhi ya jiji hilo mfano wa soko kuu kisutu, soko la kariakoo, Machinga complex.

Masoko karibia yote Arusha yapo katoka Muundo wa vibanda vibanda

Ni vizuri halmashauri ya jiji la Arusha kwa kutumia mapato yake ya ndani kufanya ujenzi wa soko kubwa na wenye hadhi unaoendana na jiji hili la kitalii na sio kusubiri kuambiwa toka juu.
Weka picha tuone na kutoa maoni yetu.
 
Arusha ni overrated sababu ya madini na Utalii ila miundombinu wapo nyuma naweza sema wanaachwa hata na Morogoro

Check daladala zao utachoka
Sure mkuu unachosema.
Vi hiace vyao ni vipanki. Mwanza tunatoq nje ya mji hizi super roof tunaweka huko bado wako super panki.
Hizi panki mie hapa mza nazikumbuka miaka Ile ya early 1990. Mfano zile za kwenda mabatini ama mwaloni stendi ya zamani ndo zimejazana Arusha
Afu Arusha bado mji uko local Sana Mana wenyeji ni wengi kuliko wageni na unao ukabila Sana .yaani ukiweka hata biashara zako mpaka wajue wewe ni mtu wa wapi.
Arusha stendi kuu ndo usiseme ni uchafu bangi zinanuka kila Kona. Mama ntilie hawajapangwa wamejazana.
Vijana wa Arusha ni wavivu Sana wanategemewa kubebea na Bibi wa kizungu kwa kufuga Rasta. Kuna sex tours kwa wadada ndo kidogo wanaenjoi kumariolization.
Mji ambao ukiongea na mtu anataka kujua wewe ni wa wapi.
Pia Arusha ni ndogo Sana hata nyakato inaizidi basi tu.
Pia wanapenda Sana kushindanisha Mara mza vs Arusha wako kikenya zaidi.baadaye mtaanza kushindanisha USA river vs ngarenaro ya juu or ya chini
 
Hili soko ni la muda mrefu tena tangu baada ya uhuru, na lipo katikati ya jiji mita chache tu toka ilipo stand kubwa ya mabasi, lakini haliendani kabisa na sura ya jiji.

Muundo wa soko ni wa kizamani kuanzia nje hadi ndani ambapo vizimba ni vidogo vidogo na wafanyabiashara wengine wamejijengea wanavyojuwa wenyewe ndani ya Soko hilo.

Jiji la Arusha limekuwa likikusanya mapato miaka yote lakini hakuna uboreshaji au upanuzi wa soko hilo kuwa la kisasa ili liweze endana na hadhi ya jiji.

Soko hili limekuwa kikitembelewa na watalii na hata kununua bidhaa humo sokoni.

Jiji kama Dar es Salaam masoko yake yanaendana sana na hadhi ya jiji hilo mfano wa soko kuu kisutu, soko la kariakoo, Machinga complex.

Masoko karibia yote Arusha yapo katika Muundo wa vibanda vibanda na sio muundo wa jengo la soko

Ni vizuri halmashauri ya jiji la Arusha kwa kutumia mapato yake ya ndani kufanya ujenzi wa soko kubwa na wenye hadhi unaoendana na jiji hili la kitalii na sio kusubiri kuambiwa toka juu.
"MITA CHACHE TU TOKA ILIPO STAND KUBWA YA MABASI".. Mkuu rekebisha na hapo hakuna stand kubwa pale ule ni uchafu mwingine pia.
 
Hii yote ni njama ya CCM tu kuikandamiza kanda ya kaskazini. Tunakubali kweli soko wala stand havina hadhi lakini ukiangalia nchi hii wenye mamlaka wanapendelea kanda nyingine na kanda ya kaskazini inaonekana kama Gaza strip wanakoishi Palestinians.

Serikali imeshindwa ninu kujenga soko na stand vyenye hadhi hapa chuga? Kama ni kodi Arusha ni mikoa inayoongoza kuchangia pato la taifa. Kwanini hatuoni hiyo hela ikirudi kwenye angalau miradi yakueleweka?
 
Hii yote ni njama ya CCM tu kuikandamiza kanda ya kaskazini. Tunakubali kweli soko wala stand havina hadhi lakini ukiangalia nchi hii wenye mamlaka wanapendelea kanda nyingine na kanda ya kaskazini inaonekana kama Gaza strip wanakoishi Palestinians.

Serikali imeshindwa ninu kujenga soko na stand vyenye hadhi hapa chuga? Kama ni kodi Arusha ni mikoa inayoongoza kuchangia pato la taifa. Kwanini hatuoni hiyo hela ikirudi kwenye angalau miradi yakueleweka?
Ukweli mtupu
 
Hii yote ni njama ya CCM tu kuikandamiza kanda ya kaskazini. Tunakubali kweli soko wala stand havina hadhi lakini ukiangalia nchi hii wenye mamlaka wanapendelea kanda nyingine na kanda ya kaskazini inaonekana kama Gaza strip wanakoishi Palestinians.

Serikali imeshindwa ninu kujenga soko na stand vyenye hadhi hapa chuga? Kama ni kodi Arusha ni mikoa inayoongoza kuchangia pato la taifa. Kwanini hatuoni hiyo hela ikirudi kwenye angalau miradi yakueleweka?
Well said! Arusha imetengwa sana kwenye maendeleo hasa miundo mbinu. Imagine mkoa wenye vitega uchumi vya kutosha halafu miundo mbinu ni yaajabu kabisa. Bus station za Arusha zinasikitisha. Inabidi serikali ikumbuke Arusha katika hili, irudishe fadhila
 
Ukweli mtupu

Well said! Arusha imetengwa sana kwenye maendeleo hasa miundo mbinu. Imagine mkoa wenye vitega uchumi vya kutosha halafu miundo mbinu ni yaajabu kabisa. Bus station za Arusha zinasikitisha. Inabidi serikali ikumbuke Arusha katika hili, irudishe fadhila
Siasa za CCM za ajabu sana. Hii nchi haiwezi kuja kuendelea kwa namna hii. Eti kaskazini ni ngome ya upinzani kwahiyo imetengwa.

Hasa kipindi kile cha mwendakuzimu ndio kabisa hata yeye kukanyaga kaskazini alikuwa hataki kusikia.
 
Hii yote ni njama ya CCM tu kuikandamiza kanda ya kaskazini. Tunakubali kweli soko wala stand havina hadhi lakini ukiangalia nchi hii wenye mamlaka wanapendelea kanda nyingine na kanda ya kaskazini inaonekana kama Gaza strip wanakoishi Palestinians.

Serikali imeshindwa ninu kujenga soko na stand vyenye hadhi hapa chuga? Kama ni kodi Arusha ni mikoa inayoongoza kuchangia pato la taifa. Kwanini hatuoni hiyo hela ikirudi kwenye angalau miradi yakueleweka?
🤣🤣Unajua kumbe serikali ina nguvu kuleta maendeleo je ule mkoa ulitegemea viwanda na mkonge vyote serikali ya nyerere ikaua leo mnawasema wavivu unajitambua na kwamba ukiacha bangi utaelewa

Hapo ndo ujue serikali inatakiwa kumijengea stendi na soko kubwa sio eti nyie ni wachapa kazi mbona soko linawashinda na stendi jengeni sasa
 
Sure mkuu unachosema.
Vi hiace vyao ni vipanki. Mwanza tunatoq nje ya mji hizi super roof tunaweka huko bado wako super panki.
Hizi panki mie hapa mza nazikumbuka miaka Ile ya early 1990. Mfano zile za kwenda mabatini ama mwaloni stendi ya zamani ndo zimejazana Arusha
Afu Arusha bado mji uko local Sana Mana wenyeji ni wengi kuliko wageni na unao ukabila Sana .yaani ukiweka hata biashara zako mpaka wajue wewe ni mtu wa wapi.
Arusha stendi kuu ndo usiseme ni uchafu bangi zinanuka kila Kona. Mama ntilie hawajapangwa wamejazana.
Vijana wa Arusha ni wavivu Sana wanategemewa kubebea na Bibi wa kizungu kwa kufuga Rasta. Kuna sex tours kwa wadada ndo kidogo wanaenjoi kumariolization.
Mji ambao ukiongea na mtu anataka kujua wewe ni wa wapi.
Pia Arusha ni ndogo Sana hata nyakato inaizidi basi tu.
Pia wanapenda Sana kushindanisha Mara mza vs Arusha wako kikenya zaidi.baadaye mtaanza kushindanisha USA river vs ngarenaro ya juu or ya chini
Ukweli mtupu
 
Hili soko ni la muda mrefu tena tangu baada ya uhuru, na lipo katikati ya jiji mita chache tu toka ilipo stand kubwa ya mabasi, lakini haliendani kabisa na sura ya jiji.

Muundo wa soko ni wa kizamani kuanzia nje hadi ndani ambapo vizimba ni vidogo vidogo na wafanyabiashara wengine wamejijengea wanavyojuwa wenyewe ndani ya Soko hilo.

Jiji la Arusha limekuwa likikusanya mapato miaka yote lakini hakuna uboreshaji au upanuzi wa soko hilo kuwa la kisasa ili liweze endana na hadhi ya jiji.

Soko hili limekuwa kikitembelewa na watalii na hata kununua bidhaa humo sokoni.

Jiji kama Dar es Salaam masoko yake yanaendana sana na hadhi ya jiji hilo mfano wa soko kuu kisutu, soko la kariakoo, Machinga complex.

Masoko karibia yote Arusha yapo katika Muundo wa vibanda vibanda na sio muundo wa jengo la soko

Ni vizuri halmashauri ya jiji la Arusha kwa kutumia mapato yake ya ndani kufanya ujenzi wa soko kubwa na wenye hadhi unaoendana na jiji hili la kitalii na sio kusubiri kuambiwa toka juu .




mpangilio wa soko kuu kwa ndani

View attachment 2069594
View attachment 2069617
Ngoja wenye meno ya ufuta waje wakushambulie
 
Biashara si zinafanyika lakini???
Maana mambo ya masoko ukisema uwabadilishie mandhari tu ndiyo umeuwa
Biashara ya sokoni

Ova
 
🤣🤣Unajua kumbe serikali ina nguvu kuleta maendeleo je ule mkoa ulitegemea viwanda na mkonge vyote serikali ya nyerere ikaua leo mnawasema wavivu unajitambua na kwamba ukiacha bangi utaelewa

Hapo ndo ujue serikali inatakiwa kumijengea stendi na soko kubwa sio eti nyie ni wachapa kazi mbona soko linawashinda na stendi jengeni sasa
Huwa wanasema wao hawategemei serikali ya ccm kuwaletea maendeleo
 
Well said! Arusha imetengwa sana kwenye maendeleo hasa miundo mbinu. Imagine mkoa wenye vitega uchumi vya kutosha halafu miundo mbinu ni yaajabu kabisa. Bus station za Arusha zinasikitisha. Inabidi serikali ikumbuke Arusha katika hili, irudishe fadhila
Acheni kujificha kwenye kichaka cha kutengwa kwenye maendeleo, vipi Kigoma, Sumbawanga, Ruvuma, Singida na Mara nao waseme nini?
 
Kwanza waondoe vile viskul bus yaani vinachafua mji.afu pale si ndio karibu na Nairobi hawajifunzi wenzao wana Ngaya kali zinapendezesha jiji.
Afu mji gani ikifika saa mbili tu ushapoa kuna baadhi ya maeneo hata viskul bus huvipati kama Njiro.
Mambo mengine si serikali ya kulaumiwa ni wawekezaji nao mjiongeze hasa wa usafirishaji hatuvitaki hivyo vihaisi vyenu tunapandia basi tu.
 
Rais samia kwakweli next time tukikopa tunaomba sana fedha kidogo ziende kwenye kuboresha miundombinu mji wa Arusha.

Mikopo is there to stay.

So tukikopa tena Arusha tupate walau kiduchu.

Thank you Madam President.

We Love You.

And God Bless you.
 
Hili soko ni la muda mrefu tena tangu baada ya uhuru, na lipo katikati ya jiji mita chache tu toka ilipo stand kubwa ya mabasi, lakini haliendani kabisa na sura ya jiji.

Muundo wa soko ni wa kizamani kuanzia nje hadi ndani ambapo vizimba ni vidogo vidogo na wafanyabiashara wengine wamejijengea wanavyojuwa wenyewe ndani ya Soko hilo.

Jiji la Arusha limekuwa likikusanya mapato miaka yote lakini hakuna uboreshaji au upanuzi wa soko hilo kuwa la kisasa ili liweze endana na hadhi ya jiji.

Soko hili limekuwa kikitembelewa na watalii na hata kununua bidhaa humo sokoni.

Jiji kama Dar es Salaam masoko yake yanaendana sana na hadhi ya jiji hilo mfano wa soko kuu kisutu, soko la kariakoo, Machinga complex.

Masoko karibia yote Arusha yapo katika Muundo wa vibanda vibanda na sio muundo wa jengo la soko

Ni vizuri halmashauri ya jiji la Arusha kwa kutumia mapato yake ya ndani kufanya ujenzi wa soko kubwa na wenye hadhi unaoendana na jiji hili la kitalii na sio kusubiri kuambiwa toka juu .




mpangilio wa soko kuu kwa ndani

View attachment 2069594
View attachment 2069617
Lipo tangu kabla ya uhuru ila kwa sasa ni msukule.
 
Back
Top Bottom