Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 sio hakuna kitu ila ni nyuma ya dar na mwanza kwa ukubwa wa mji na huo ndio ukweliKumbe unafahamu Arusha hakuna kitu lkn huwa unajifanya hujui.
hizo chuki ndio zinaturudisha nyuma ndugu yangu kitombileNyie si mnapesa wachapa kazi kuliko race yoyote hapa Tanzania, jengeni soko lenu na stendi yenu.
Hakika wewe ni simba kumbe ukweli ulikuwa unaufahamu alafu unachelewa kusema🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sio hakuna kitu ila ni nyuma ya dar na mwanza kwa ukubwa wa mji na huo ndio ukweli
lakini pamoja na hayo inapitwa miundombinu hadi na iringa na morogoro 😥
Rafiki yangu mdazi, unaijua Serengeti?hizo chuki ndio zinaturudisha nyuma ndugu yangu kitombile
Arusha ndio imebeba taswira ya nchi yetu kwa utalii
zaidi ya asilimia 80 ya watalii wote Tanzania bara wanaenda Arusha
lakini pesa ya makusanyo yao ndio yanajenga vituo vya afya vijijini huko
kama serikali ipo serious na utalii alafu mji wa utalii unakosa stendi ni aibu kwa nchi yetu yote boss
watu wa Arusha sisi tuko sawa na lifestyle yetu hata magari yapaki barabarani sawa tu
ila wageni sasa ndio wanapata kadhia kubwa
na hapa ndipo wanasema adui yako mpende tu
kwa sababu mgeni akija anajua kaja Tanzania na sifa mbovu inaenda kwa nchi
kwa sekta binafsi Arusha wamejitahidi sana kutengeneza hoteli na sehemu za burudani lakini kwa upande wa serikali inasikitisha
Hatuta fika mahali kama taifa kama tukibaguana sisi kwa sisi
unataka kusema kuwa watalii wanaoenda serengeti wanapitia mwanza sio Arusha 😥Rafiki yangu mdazi, unaijua Serengeti?
Musoma wanajenga uwanja wa ndege pia na hoteli za kitalii kwaajili ya mbuga yao ya serengeti sasa kila mtu ale urefu wa kamba yake.unataka kusema kuwa watalii wanaoenda serengeti wanapitia mwanza sio Arusha 😥
Kwa maelezo yako ni wazi kabisa Arusha umeisikia vijiweni, hapo tu kwenye vi hiace ndo pana ukweliVi hiace vyao ni vipanki. Mwanza tunatoq nje ya mji hizi super roof tunaweka huko bado wako super panki.
Hizi panki mie hapa mza nazikumbuka miaka Ile ya early 1990. Mfano zile za kwenda mabatini ama mwaloni stendi ya zamani ndo zimejazana Arusha
Nakusahisha hapo kwenye Mji, Arusha sio mji bali ni Jiji, Kuna wakaazi wengi sana katika maeneo mengi,Afu Arusha bado mji uko local Sana Mana wenyeji ni wengi kuliko wageni
Acha uwongo, kama hujawahi kufika Arusha kaa kimya tu, hakuna hayo mambo Arusha, watu kibao tu kutoka matabaka na makabila mbali mbali wanafanya biashara zao Arusha bila shida, Nilikaa Arusha miaka minne na sijawahi kuona huu upuuzi.yaani ukiweka hata biashara zako mpaka wajue wewe ni mtu wa wapi.
Hujawahi kufika Arusha mkuu, heri ukae kimya tu, Stendi ya Arusha ni ndogo lakini si chafu. Hizo bangi ukizisikia vijiweni usidhani zinavutwa kokote, Stendi ipo kati mjini pale, wanaovuta bangi labda wanaenda kule opposite na uwanja wa karume (kama bado hapajajengwa), hakuna mvuta bangi anavuta bangi kiwazi wazi ma hata huko wanakonunua wakijua una hii tabia hawakuuzii.Arusha stendi kuu ndo usiseme ni uchafu bangi zinanuka kila Kona.
Hujui kitu kuhusu A town, heri ufunge hilo bakuli mkuu, Vijana wa Arusha ni wavivu ??? acha kuchafua watu wa Arusha, Hao wanaowinda wazungu wapo wachache sana hawafikii hata asilimia 1 ya vijana wa Arusha, ila bado hawa sio vi ben ten vinavyo nunuliwa iphone na kuridhika, hawa ni level nyingine, ndoano zikinasa wanasafiri kwenda kuanza maisha ulaya na kama ni kiuchumi huwa hawapigi hatua bali wanachana msamba.Vijana wa Arusha ni wavivu Sana wanategemewa kubebea na Bibi wa kizungu kwa kufuga Rasta.
Haya unayatoa wapi, ni kijiweni au?? Nimekaa Arusha miaka minne na kuzoeana na wana arusha wengi tu, haya mambo katika watu 10 utaokutana nao labda ni 1 tuMji ambao ukiongea na mtu anataka kujua wewe ni wa wapi.
We ni mshamba sana mkuu, yaelekea unatumia kitochi kuingia jf, huenda hata huijui google mapsPia Arusha ni ndogo Sana hata nyakato inaizidi basi tu.
Yale yale tu ya vijiweni, punguza kwenda vijiweni tafuta kazi.Pia wanapenda Sana kushindanisha Mara mza vs Arusha wako kikenya zaidi.baadaye mtaanza kushindanisha USA river vs ngarenaro ya juu or ya chini
Leta ukwel hapa usipinge bila hoja.Kwa maelezo yako ni wazi kabisa Arusha umeisikia vijiweni, hapo tu kwenye vi hiace ndo pana ukweli
pitia koment namba 50Leta ukwel hapa usipinge bila hoja.
🤝🤝🤝🤝Kwa maelezo yako ni wazi kabisa Arusha umeisikia vijiweni, hapo tu kwenye vi hiace ndo pana ukweli
Nakusahisha hapo kwenye Mji, Arusha sio mji bali ni Jiji, Kuna wakaazi wengi sana katika maeneo mengi,
Acha uwongo, kama hujawahi kufika Arusha kaa kimya tu, hakuna hayo mambo Arusha, watu kibao tu kutoka matabaka na makabila mbali mbali wanafanya biashara zao Arusha bila shida, Nilikaa Arusha miaka minne na sijawahi kuona huu upuuzi.
Hujawahi kufika Arusha mkuu, heri ukae kimya tu, Stendi ya Arusha ni ndogo lakini si chafu. Hizo bangi ukizisikia vijiweni usidhani zinavutwa kokote, Stendi ipo kati mjini pale, wanaovuta bangi huwa wanaenda kule opposite na uwanja wa karume, ujui kitu kuhusu Arusha mkuu.
Hujui kitu kuhusu A town, heri ufunge hilo bakuli mkuu, Vijana wa Arusha ni wavivu ??? acha kuchafua watu wa Arusha, Hao wanaowinda wazungu wapo wachache sana hawafikii hata asilimia 1 ya vijana wa Arusha, ila bado hawa sio vi ben ten vinavyo nunuliwa iphone na kuridhika, hawa ni level nyingine, ndoano zikinasa wanasafiri kwenda kuanza maisha ulaya na kama ni kiuchumi huwa hawapigi hatua bali wanachana msamba.
Haya unayatoa wapi, ni kijiweni au?? Nimekaa Arusha miaka minne na kuzoeana na wana arusha wengi tu, haya mambo katika watu 10 utaokutana nao labda ni 1 tu
We ni mshamba sana mkuu, yaelekea unatumia kitochi kuingia jf, huenda hata huijui google maps
Yale yale tu ya vijiweni, punguza kwenda vijiweni tafuta kazi.
uyu ndugu yangu kitombile hajawahi kufika Arusha msamehe tu ana ule unazi wa kanda ya ziwa😥pitia koment namba 50
Jifariji rafiki yangu kuja kushtuka mji wenu utakuwa kama kilwa kivinje.uyu ndugu yangu kitombile hajawahi kufika Arusha msamehe tu ana ule unazi wa kanda ya ziwa😥
hawa watu wanachuki sana na Arusha wanadhani tunashindana nao maskini
Nishawahii kula muuza matunda hapo kimasikhara. Mdada mzuri wa kichaga, nilifikia hotel hapo karibu na stendi AquilineHili soko ni la muda mrefu tena tangu baada ya uhuru, na lipo katikati ya jiji mita chache tu toka ilipo stand kubwa ya mabasi, lakini haliendani kabisa na sura ya jiji.
Muundo wa soko ni wa kizamani kuanzia nje hadi ndani ambapo vizimba ni vidogo vidogo na wafanyabiashara wengine wamejijengea wanavyojuwa wenyewe ndani ya Soko hilo.
Jiji la Arusha limekuwa likikusanya mapato miaka yote lakini hakuna uboreshaji au upanuzi wa soko hilo kuwa la kisasa ili liweze endana na hadhi ya jiji.
Soko hili limekuwa kikitembelewa na watalii na hata kununua bidhaa humo sokoni.
Jiji kama Dar es Salaam masoko yake yanaendana sana na hadhi ya jiji hilo mfano wa soko kuu kisutu, soko la kariakoo, Machinga complex.
Masoko karibia yote Arusha yapo katika Muundo wa vibanda vibanda na sio muundo wa jengo la soko
Ni vizuri halmashauri ya jiji la Arusha kwa kutumia mapato yake ya ndani kufanya ujenzi wa soko kubwa na wenye hadhi unaoendana na jiji hili la kitalii na sio kusubiri kuambiwa toka juu .
mpangilio wa soko kuu kwa ndani
View attachment 2069594
View attachment 2069617
Soko kuu kwa nje