Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

Hiyo ni nzuri sana, watu wengi huwa wanalalamika kwamba wana mawazo mazuri ila tatizo ni mtaji, huu utakua ni ufumbuzi wa hilo tatizo.

Angalizo, pawe na wataalamu wa kupima na kuangalia uhalisia na utekelezaji wa hayo mawazo kabla watu hawajavunja vibubu kurushia akiba zao huko.

Thanks mkuu Pasco
Mkuu Samaritan, kiukweli Baba wa Taifa iliwahi kutuusia, "umasikini mbaya kabisa ni umasikini wa mawazo!".
Kiukweli kabisa, Watanzania wapo wengi wenye good bussiness ideas tatozo ni mitaji!.

Juzi nilikuwa Mtwara, huwezi amini, all major suppliers ni makampuni ya Kenya na Afrika Kusini, kisa suplies wetu wa hapa hawana capacity!, japo sikubahatika kuona hata tangazo moja la zabuni kwenye magezeti yetu, kila kitu ni online!, huwezi amini, hata maji ya kunywa, japo ni haya haya ya Kilimanjaro, supplier ni Mkenya!.

Juzi wameleta malori 200 kubeba mabomba ya gesi, Mtwara na Lindi, hakuna madereva!. Nimeshuhudia baadhi ya mabasi ya abiria wa mikoani ya Youtong madereva ni Wachina!.

Mradi wa mabasi yaendayo kasi, umetangaza tenda ya kutafuta kampuni ya uendeshaji mradi huo, mtashangaa kukuta ni kampuni ya kigeni simply because sisi hatuwezi!.

Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, CMCA, italisimamia hili!.

Pasco.
 
Ni kitu kizuri ila Tuombee tu wajanja wa Mujini wasiingilie hilo deal, vinginevyo itakuwa majanga tu kama ilivyokuwa katika Mabilioni ya JK, EPA, Fedha za ICS, Stimulus Package....n.k
Nchi ngumu hiii !!!

Wabongo ni noma!, kama wazeee waheshimiwa wetu, wamewaingiza watu chaka kwenye NICO, unatemea nini?.

Gemu la NIKO lilikuwa hivi
1. Baada ya kupatikana yale mabilioni, "Kaka Mtu" ndiye alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uwekezaji ya NICO.

2. NICO ikawekeza mtaji mkubwa kwenye dead company na "mdogo mtu" watu wakavuta, wakasepa!

3. Dili iliposhtukiwa "Kaka Mtu" akatoa "press Statement" eti hakujua NICO inawekeza kwenye kampuni ya "mdogo mtu!", uamuzi huo ulifikiwa yeye akiwa hayupo, hivyo kwa hiyari yake ameamua kujiuzulu!.

Kwani pesa zimerudi, ingekuwa ni ulaya, mtu unafungwa, China unayongwa!.

This time ili kuzuia michezo hii michafu, kunakuwa na mtu wa CMSA kufanya day to day monitoring!.

Pasco
 
hya masuala ya hisa ni pasua kichwa sana mi nimejaribu sana kuyafuatilia lkn inakuwa ngumu sana kuelewa nafikir ni wakat wa wizara ya elimu kuweka hya mambo kwny mitaala ya elimu yetu cyo mtu mpk afke chuo ndyo apate kujua khs hisa
 
Pasco acha kudanganya watu. Mimi nilinunua hisa za 100,000 TOL mwaka 1998 mpaka leo sijapata gawio. Nimenunua hisa za CRDB, ninachopata ni kidogo bora ningeweka pesa yangu benki.

Biashara ya hisa si ya kutumainia sana, ni bora ununua mazao wakati wa mavuno ungoje yapande bei kuliko kuwekeza kwenye hisa
 
Hii inamaanisha hata mimi na kikampuni changu cha PPR, nikiangalia assets zatu, zile equipments zetu tuu peke yake, zimeishazidi mtaji wa milioni 200!, inamaana sasa PPR inaweza kuwa listed, tukaanzisha TV yetu, na tukairusha jf hewani free to air 24/7!.

Au JF, ikaandaa business plan yake kuwa inataka kufanya nini, mfano tukianzisha gazeti, litakuwa hit!, tukianzisha TV na Redio, itafunga kazi, hebu imagine siku ya kipindi cha Mzee Mwanakijiji, Mchambuzi, kina Nguruvi 3 wakizichambua siasa za bongo!, who can afford to miss!, tukawa listed, tukapata mtaji, tukatake off, kuna TV gani nyingine bongo inaweza kushindana na sisi?.
umesahau na program za mmu .....hebu fanya ze needful pasco
 
Pasco acha kudanganya watu. Mimi nilinunua hisa za 100,000 TOL mwaka 2008 mpaka leo sijapata gawio. Nimenunua hisa za CRDB, ninachopata ni kidogo bora ningeweka pesa yangu benki.

Biasha ya hisa si ya kutumainia sana, ni bora ununua mazao wakati wa mavuno ungeje yapande bei kuliko kuwekeza kwenye hisa
Mkuu Ndachuwa, kwanza pole kwa hizo za TOL, ni kweli zilikuwa kimeo, ila mwaka huu gawio la kwanza litatoka!.
Pia nakiri gawio la hisa za CRDB ni dogo!, angalia hisa za TCC au TBL, watu wanavuna mahela!.

Ili uweze kufaidika na gawio la hisa, lazima hisa hizo ziwe nyingi!.

Wabongo na hisa safari bado ni ndefu!, mimi kuna wakati nilivuta vungu fulani la maana mahali fulani, nikaamua niweke kwenye FD nile gawio!, bongo shinda haziishi, within no time, nikapata shida inahitaji fedha, nikaitumia ile FD yangu kukopa beki ile ile, interest ya mkopo ni 20%pa, interest ya FD, ni 12.5% mwisho wa siku, nikajukuta nimefanya biashara kichaa!, unawekeza kupata 12.5%, unakopa kulipa 20%!.

Najipanga kuilist PPR, tutafute mtaji tukue!.
P.
 
Nimeliwa hisa zangu za NICOL mpaka leo sitaki kusikia huo upuuzi.
Pole sasa kakajambazi!, Nicol was an accident tuu, ili ufanikiwe, kwanza usikate tamaa mapema, pili hata ukianguka, unasimama tena unakomaa!. Just imagine waliopanda mbegu kwenye DESI!.
Pasco.
 
Kuna memba mpya ajajiunga soon na JF kwa jina la "DSE" huyo atakupa links zote, website, twitter, facebook, atc.
Pia wa meanzisha vipindi vya Redio, TV na Magazeti vitaonekana soon, nitakujulisha.
P.
Mkuu @dse na Pasco naomba hata mim mnijulishe pindi mtapotoa hizo links na ratiba ya hivyo vipindi!!! Nna shida sana na hii elimu!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Samaritan, kiukweli Baba wa Taifa iliwahi kutuusia, "umasikini mbaya kabisa ni umasikini wa mawazo!".
Kiukweli kabisa, Watanzania wapo wengi wenye good bussiness ideas tatozo ni mitaji!.

Juzi nilikuwa Mtwara, huwezi amini, all major suppliers ni makampuni ya Kenya na Afrika Kusini, kisa suplies wetu wa hapa hawana capacity!, japo sikubahatika kuona hata tangazo moja la zabuni kwenye magezeti yetu, kila kitu ni online!, huwezi amini, hata maji ya kunywa, japo ni haya haya ya Kilimanjaro, supplier ni Mkenya!.

Juzi wameleta malori 200 kubeba mabomba ya gesi, Mtwara na Lindi, hakuna madereva!. Nimeshuhudia baadhi ya mabasi ya abiria wa mikoani ya Youtong madereva ni Wachina!.

Mradi wa mabasi yaendayo kasi, umetangaza tenda ya kutafuta kampuni ya uendeshaji mradi huo, mtashangaa kukuta ni kampuni ya kigeni simply because sisi hatuwezi!.

Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, CMCA, italisimamia hili!.

Pasco.

Nna shida sana na hii elimu...kama nlivosema awali, nami mnijulishe pindi mtapotoa hizo links...na kama una material au sources mbalimbali za kuhusu uwekezaji ntashukuru sana kama ukinisaidia!!
 
Mmmm hapo kwenye mitaji haina masharti? Nnavyojua kampuni inayoweza uza shares ina mfumo kuwa directors wenye maamuzi makuu ni shareholders kuanzia asilimia kadhaa. Sasa ndugu yangu kama kikampuni changu nataka kuuza hisa ili nipate mtaji nitakuwa sina maamuzi yoyote. Tukubaliane tu kwamba kampuni wanazosema ndogondogo ndo hizo zenye walau 200ml, vinginevyo umemilikisha mtu biashara. Au nimeelewa vingine?
Magabe amemalizia kwa kutoa wito kwa Watanzania, wenye vikampuni vidogo vidogo, kuacha ubinafsi, bali wa float shares wapate mitaji mikubwa, wapae kibiashara!.

Amesisitiza hii ni opportunity adimu, tuichangamkie!.

Kipindi kimekwisha!

Pasco
 
Mkuu Pasco
Nasikitika kukuambia kuwa hayo makampuni (major suppliers) pale Mtwara mimi binafsi nimefika, kilichopo kuna urasimu mkubwa sana kwa local suppliers kama sisi. Nimefika kiwanda cha Cement kinachojengwa pale Mtwara, yaani hata mawasiliano na wenye kampuni au menejimenti ya kiwanda hakuna azijuaye miongoni mwa waajiriwa pale.

Nilifaulu tu pale Lindi kwenye kiwanda cha Cement kinachojengwa "MEIS LINDI CEMENT" ndipo nikafaulu na kufanya makubaliano juu ya shughuli za supplies, hiki ni kiwanda cha wazawa na ndio maana walinipokea na kukubaliana terms n conditions za kuanza kazi.

Nilichogundua, hizi kampuni za uwekezaji za nje, hawapendi kutuwezesha wazawa nasi kukua kisha baadae nasi kuwa ni wawekezaji wa ndani, hawataki kabisa na hii attitude ni mpaka govt iingilie kati.

Wale Nigerians wa Mtwara cements yaani mpaka saruji ya kujengea kiwanda wanatoa Nigeria badala ya kuchukua hapo Wazo, wanawekeza na pesa zote zarudi kwao kukuza chumi zao.
 
Wawekezaji wanafuata mfumo wa "who pays the piper, may call the tune!", wanakupa pesa kwa mkono mmoja, wanazivuta kwa mkono mwingine, zinarudi zilikotoka, kisha sisi tunabakia kulipa madeni!.

Kwa miradi yote funded by WB, kama inahusisha kujenga uwezo kwenye ICT, then wanakuwa very specific kuwa compyuta, na laptop zote lazima ziwe ni Dell!.

Wachina wanaojenga bomba la mafuta, kila kitu ni kutoka china!, hadi baadhi ya makuli!, yale magari ya kusafirishia mambomba, ni yao!. Kuna namna ya kuongeza vile vyuma vya kushikilia mabomba, garaje ni ya wachina, watu wa welding ni wachina, chuma zimetoka china!.

Miradi yote ya ujenzi inayowahusu Wachina, kila kitu lazima kitoke China, kuanzia cement, nondo hadi misumari!, hawanunui chochote cha hapa kwetu kwa kisingizio cha ubora!.

Ukifuatilia hayo makamuni ya gesi, ni vivyo hivyo, kampuni la BG, kila kitu kinatoka Uingereza!, kampuni la Petrobrass, kila kitu kinatoka Brazil!, tena wamejitolea kusomesha Watanzania 20 mambo ya gesi kule nchini kwao, shurti la kwanza ni Watanzania hao kwanza wafundishwe lugha ya Kireno kwa miezi sita!, wale watakao faulu, ndio watakao kwenda Brazil!.

Kiukweli kinachotufanya sisi Watanzania tunashindwa kwenye baadhi ya tenda za kimataifa, ni ubinafsi tuu na umimi wa vijikampuni vidogo kushindana na ma giant!. Mfano walioshinda tenda za "catering" ni supplies wa Kenya!, hivi mfano hawa ma caterer kina Douglas Semu wa Classic Catering, Dorcas Kanso wa Dorka, Mike Ley wa Profcaters, wangeungana na kuunda consortium yao na kufanya joint tendaring, wangeshindwa?!.

Hizi fursa za uwekezaji kupitia DSE, zitavifanya hivi vikampuni vyetu vidogo vidogo ku open up kwa kupata mitaji mikubwa kukua ila pia kumilikiwa na wengi.
 
mimi napenda sana kuwekeza kwenye ununuzi wa hisa ila tu bado sijapata elimu stahili na kila nikijitahd kusoma mwenyewe nakutana na maswali magumu ambayo siwez kujijibu sijui ninawezaje kupata elimu juu ya umiliki wa hisa.

Tafuta vitabu vya ndg EMILIAN BUSARA na MREMBO GRACE, vitakusaidia sana kuyajibu maswali yako ambayo huwezi kujijibu.
 
Mkuu Ndachuwa, kwanza pole kwa hizo za TOL, ni kweli zilikuwa kimeo, ila mwaka huu gawio la kwanza litatoka!.
Pia nakiri gawio la hisa za CRDB ni dogo!, angalia hisa za TCC au TBL, watu wanavuna mahela!.
Ili uweze kufaidika na gawio la hisa, lazima hisa hizo ziwe nyingi!.

Wabongo na hisa safari bado ni ndefu!, mimi kuna wakati nilivuta vungu fulani la maana mahali fulani, nikaamua niweke kwenye FD nile gawio!, bongo shinda haziishi, within no time, nikapata shida inahitaji fedha, nikaitumia ile FD yangu kukopa beki ile ile, interest ya mkopo ni 20%pa, interest ya FD, ni 12.5% mwisho wa siku, nikajukuta nimefanya biashara kichaa!, unawekeza kupata 12.5%, unakopa kulipa 20%!.

Najipanga kuilist PPR, tutafute mtaji tukue!.
P.

Hapo kwenye PPR nitakuja kuchukuwa hisa najua ukinipiga tutamalizana hapahapa janvini nitapatia mafunzo hapo
 
gawio ni kila baada ya muda gani na kujiunga ni kila mwanzo wa mwaka?
 
Back
Top Bottom