nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 288
- 230
kk achana na hiyo issue kama huna mtaji wa kutosha, wanaofaidika n wale waliowekeza pesa nyingi kwa hyo issue sasa kama ww una ka milion moja chako usijaribu utaumia vibaya mno.
Tambua vle vle sio faida tu bali company ikipata hasara na ww inakuusu, share pia zikishuka bei ni majanga
kwa Tanzania hii biashara ya hisa bado ni changa sana uki compare na kenya. kenya kuna watu wanaishi kutokana na hii kazi kwa tanzania makampuni yenye share kwenye Dar es salam stock exchange ni haya apa TCC CRDB NMB TWIGA CEMENT PRECION AIR na mengineyo, hayazid 12
nakushaur nunua share za TCC, crdb ni majanga. wanauza share bei rahisi ila hazina faida yyte:flypig::flypig::flypig:
Tambua vle vle sio faida tu bali company ikipata hasara na ww inakuusu, share pia zikishuka bei ni majanga
kwa Tanzania hii biashara ya hisa bado ni changa sana uki compare na kenya. kenya kuna watu wanaishi kutokana na hii kazi kwa tanzania makampuni yenye share kwenye Dar es salam stock exchange ni haya apa TCC CRDB NMB TWIGA CEMENT PRECION AIR na mengineyo, hayazid 12
nakushaur nunua share za TCC, crdb ni majanga. wanauza share bei rahisi ila hazina faida yyte:flypig::flypig::flypig: